Najiachiaaaaaa

Code:
You sound tooo philosophical in your narration, nimekuelewa though...

In the eyes of the Almighty God you are too beautiful to mess around that pretty body of yours...............
 
Naomba ufafanuzi wana JF
Mtu akisema ana-enjoy SEX na amesha-date alot of pipo, ni kwamba ana sifa UZINZI au ndio normal life?


Hi CPU... ina maana kua katembea na watu tofauti, kujua hilo inabidi Lovebite atudadafulie kuwa walikua one nite stand au wakikua wanatoka kila baada ya mda fulani... (nina shauku kweli maana naona my mind ina tune mtaa mmoja nawe)
 
I think unamuhitaji Yesu kristo ndani ya moyo wako coz haitakufaidia chochote hata ukiupata ulimwengu wote.Mwisho wa watu wenye maisha kama yako ni kujiua kutokana na msongo wa mawazo.Umesema kuwa unaomba but I think unamuomba usiyemjua au unaemuomba hakusikii.Kuna makanisa ya kipentecost yaani walokole kule ndo kutakubadilisha utakutana na mabinti warembo kweli lakini wanampenda Mungu.Just remember miaka inaenda na umri unakimbia.
 
Hi, mie ni msichana wa miaka 30, I have my very on lifestyle which me mwenyewe sijielewi. I am working n managed to rent a house and buy a car some years ago.

I live in Dar with a house girl n security guards only. I have such a free life that I can even hang out with friends for some days outside Dar. Sina boyfriend, but have hooked n dating some cute guys out there.

I have a dream of getting marriage somedays ahead but I dont see anyone among my close dudes as ideal though aint desperate. I party out a lot sana n I work a lot too.

Have dated Wazungus, Asians n more of Tzans. I enjoy sex sana n I cant wait to strip naked b4 my crazy lovers, lol. I dont understand myself kwa sababu cjui lini maisha haya yataisha na wala sielekei kuyachoka au kuyakubali .

Ki ukweli naishi kama hivi am a Christian n i also pray to God to fix wats i LACK IN MY LIFE OR CHANGE THE WAY I ARE. Sijielewi nataka au sitaki nini kwenye lifestyle of mine regardless of my age.

I CARE 4 my family n friends as well. I am very easy person to get along with n I am such a lady who jokes a lot n down to earth.

Hebu nisaidieni wana JF hivi kuna mtu mwingne yupo kama mimi au me ndo maisha yashanshinda? Na je what can i do?

Samahanini kwa kuchanganya lugha.

Kama sex ilikuwa inatolewa cheti yaani kufuzu wewe ungekuwa profesa ambaye vichapo/tafiti zange zimechapwa mara nyingi kwenye international journal. Tuseme kijana kama Kloroquin anaingia mkenge anakuwowa duuuu atakuwa ameoa used na mchango sitoi. Wewe mtu umeonja kila race ya mwanaume?
 
acheni kumpa moyo kwamba umri wake bado. kwa sahvi huyo kachoka mbaya na ukikutana naye lazima atakuwa bi kizee anaelekea.ukichanganya na jamaa ambao keshawapa uroda ndo watakuwa wanamchosha zaidi.hao wanaokwambia mda bado wanakudanganya wewe endelea kuchapwa tu umri wa kuolewa ushapitiriza. age za kuolewa kwa mwanamke sahvi ni 20 mpaka 28..mwishowe wa kukuoa atakuta mihuri ya kutosha.
 
Hi, mie ni msichana wa miaka 30, I have my very on lifestyle which me mwenyewe sijielewi. I am working n managed to rent a house and buy a car some years ago.
Hongera kwa kuwa hardworking, safi sana kwa kudunduliza na kuendesha maisha yako kama utakavyo.

I live in Dar with a house girl n security guards only. I have such a free life that I can even hang out with friends for some days outside Dar. Sina boyfriend, but have hooked n dating some cute guys out there.

Security guards???..wewe ni MD au CEO fulani hivi...congrats...sisi huku uswahili bado tunabishana kuchangia sungu sungu, wewe unao wa kwako.. we mwenzetu unaishi kama uko peponi, dah; kumbe tar 21, usingesikitika sana.

Huna boyfriend?? Are you a hooker?? Jamani, ulikuwa una wa-hook au date??

I have a dream of getting marriage somedays ahead but I dont see anyone among my close dudes as ideal though aint desperate. I party out a lot sana n I work a lot too.

Ukweli ndo huo, mafanikio ya mwanamke mwisho wa siku yanapimwa na familia aliyoweza kuindeleza. Umefanya vyema kuwa na ndoto hizo. Sasa utaweza kuchagua wakati una-party a lot..kwa maisha yetu ya ki-Tanzania, wanaume wenye kutafuta wanawake wa kuoa wako makini kuchagua. Punguza partying, ila endelea kutengeneza marafiki


Have dated Wazungus, Asians n more of Tzans. I enjoy sex sana n I cant wait to strip naked b4 my crazy lovers, lol. I dont understand myself kwa sababu cjui lini maisha haya yataisha na wala sielekei kuyachoka au kuyakubali .

OOh my goodness!! Wazungu, wa-asia, na Watz (blacks).. ndo wanaokupa magari na kukujengea nyumba?? mhhh..Ni kweli una maisha ya peke yako; hebu funguka akili yako..Watu wanaweza kusema tunahukumu, lakini ulichokiandika hapo inaonesha ni tabia yako typical..ndo maana moyo wako unakuhukumu, kwamba u need to stop..

Ki ukweli naishi kama hivi am a Christian n i also pray to God to fix wats i LACK IN MY LIFE OR CHANGE THE WAY I ARE. Sijielewi nataka au sitaki nini kwenye lifestyle of mine regardless of my age.

Sasa mbona huyo Mungu wa waKristo hapendi na anakataza uzinzi. Hebu ongeza juhudi za kuomba na kumaanisha, ili akupe maisha na amani ya ukweli upate kujijua ni nani na umeumbwa kwa ajili gani. Kwa sababu umesema wewe ni mkristo, huyo Mungu anasema kutakuwa na hukumu siku ya mwisho..Sasa jiulize, je umeumbwa uli uwe unafanya STRIPPING na UZINZI mbele ya wanaume wa mataifa mbalimbali???
You have a chance to confess now and start anew.

I CARE 4 my family n friends as well. I am very easy person to get along with n I am such a lady who jokes a lot n down to earth.

Hebu nisaidieni wana JF hivi kuna mtu mwingne yupo kama mimi au me ndo maisha yashanshinda? Na je what can i do?

Samahanini kwa kuchanganya lugha.

Kila mtu anajiona yuko perfect na amekamilika, mpaka pale anapoletewa 'kioo' ili ndo anajua wapi amechafuka.
Tumeumbwa tufurahie maisha, ila jinsi ya kufurahia ndo tunatofautiana. Kwa vile wewe ni Mkristo, huna budi kuyafurahia maisha katika context ya Kikristo. Mungu anakupenda sana, na hii ni kama sauti yake ndani yako kwamba ubadilike na uwe yule aliyemuumba kwa ajili ya utukufu wake..

Ubarikiwe, wakati unatafakari.
 
Kama sex ilikuwa inatolewa cheti yaani kufuzu wewe ungekuwa profesa ambaye vichapo/tafiti zange zimechapwa mara nyingi kwenye international journal. Tuseme kijana kama Kloroquin anaingia mkenge anakuwowa duuuu atakuwa ameoa used na mchango sitoi. Wewe mtu umeonja kila race ya mwanaume?

heheeh mkuu usipotee sana bana! si unaona hii post yako moja tu imetosha kabisa kumpatia lovebyte ushauri anaohitaji. Infakti mimi nadhani hapo alipofika ni beyond repair, lakini lawyer wake Uporoto soon atakuja kufafanua zaidi.
 
LOVEBYTE:

It sounds to me like, contrary to what you are saying ie. you love your lifestyle and so forth, deep down you are just as worried and wonder why no body has yet popped the question despite your admirable cv!!
 
LOVEBYTE:

It sounds to me like, contrary to what you are saying ie. you love your lifestyle and so forth, deep down you are just as worried and wonder why no body has yet popped the question despite your admirable cv!!

nice..ila hapo kwenye RED?
 
huyu is the matter of time mwenyewe ataondoka huko
sasa hv bado umri unamruhusu na ana soko kwa watu
ngoja umri ujongee mwenyewe atatulia..........
Hapo kwenye red,at 30? mwanamke wa kibongo? Pointers,hivi unajua wasichana wanaodai hivi sasa mjini ni wale waliozaliwa 1990 na kuendelea? kama una wadogo zako wa kiume/wanao wa kiume angalia wanatoka na mabinti waliozaliwa miaka ipi.
 
Hi, mie ni msichana wa miaka 30, I have my very on lifestyle which me mwenyewe sijielewi. I am working n managed to rent a house and buy a car some years ago.

I live in Dar with a house girl n security guards only. I have such a free life that I can even hang out with friends for some days outside Dar. Sina boyfriend, but have hooked n dating some cute guys out there.

I have a dream of getting marriage somedays ahead but I dont see anyone among my close dudes as ideal though aint desperate. I party out a lot sana n I work a lot too.

Have dated Wazungus, Asians n more of Tzans. I enjoy sex sana n I cant wait to strip naked b4 my crazy lovers, lol. I dont understand myself kwa sababu cjui lini maisha haya yataisha na wala sielekei kuyachoka au kuyakubali .

Ki ukweli naishi kama hivi am a Christian n i also pray to God to fix wats i LACK IN MY LIFE OR CHANGE THE WAY I ARE. Sijielewi nataka au sitaki nini kwenye lifestyle of mine regardless of my age.

I CARE 4 my family n friends as well. I am very easy person to get along with n I am such a lady who jokes a lot n down to earth.

Hebu nisaidieni wana JF hivi kuna mtu mwingne yupo kama mimi au me ndo maisha yashanshinda? Na je what can i do?

Samahanini kwa kuchanganya lugha.

wel, hav a hop, one day yah!
 
Naomba ufafanuzi wana JF
Mtu akisema ana-enjoy SEX na amesha-date alot of pipo, ni kwamba ana sifa UZINZI au ndio normal life?
CPU tatizo hapa ni mtizamo wa jamii,mwanaume akikaa kaunta Rose Garden akajishebedua kuwa ashalala na wazungu,wachina,wahindi,wahaya,wagogo,wasukuma,waarab etc wengi wetu tutaona poa tu,ndo uanaume huo na si ajabu tukamwomba atupe mauzoefu anawapataje,lakini ole wake mwanamke (kama alivyosema Lovebyte) aseme kalambwa na wahindi,wazungu,kina CPU,waarab n.k lol ngoma inakuwa nzito hapo,ataitwa majina yote duniani,la 'mzinzi' likiwemo.
 
Kama sex ilikuwa inatolewa cheti yaani kufuzu wewe ungekuwa profesa ambaye vichapo/tafiti zange zimechapwa mara nyingi kwenye international journal. Tuseme kijana kama Kloroquin anaingia mkenge anakuwowa duuuu atakuwa ameoa used na mchango sitoi. Wewe mtu umeonja kila race ya mwanaume?

yale yaleeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!! 'used' mwanamke,na mwanaume anaitwa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom