Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake ambao ni too independent. Kwa uwezo ulionao wewe labda uoe sharobaro. Yaani wanaume wengi wanaona sawa kama mwanamke utapata mafanikio ya juu ukiwa tayari ni mkewe, lakini kukuoa ukiwa na kila kitu sijuhi kwa nini wengi hawana hiyo confidence; hata kama nao pesa ipo wanataka mwanamke wa kawaida kifedha. May be wanakuwa hawaoni femininity kwa mwanamke mwenye uwezo.
Na kosa kubwa la wadada walio na uwezo ni kusimulia. Yaani unapata jamaa wewe unaanza kubwabwaja "niliponunua BMW X5 nikasema sasa nijenge" kumbe ndio unaharibu kabisa. Bora ukae kimya akijashtuka kuwa wewe mambo safi too late kesha fall.
No wonder kina 'MARIOO' kila kukicha wanaibuka kama uyoga mjini.