Naiona Zimbabwe ikija Tanzania

Naiona Zimbabwe ikija Tanzania

First of all huwezi kuwa Havard product,second hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi(soma kitabu cha rich dad poor dad) au angalia movie ya wolves of wallstreet. Third nchi yoyote inahitaji wawekezaji,hakuna muwekezaji anaependa kuinvest hela yake kwenye nchi ya rais ambae ni unpredictable,rais ambae anaamini katika sifa za ki-robinhood za kurob from rich and giving free to the poor.Tanzania inaelekea kwenye economic doom!
Andika kiingereza au kiswahili, acha ubrazamen kuchanganya lugha unaharibu kabsa
 
Sekta binafs zimeanza kupunguza wafanyakaz,milo mitatu kwa wananchi imeyeyuka,bidhaa muhimu ni adimu,acha tuisome namba,jamaa aliwapigia pushup wanaccm walikata mauno kweupee hali ndio hii.
 
kama bwai bwai acha tuanguke tu lakini wafanyabishara 10 waache kutunyanyasa, hatuwahitaji wao na mitaji yao, Magufuri atosha
 
Acha kutoa mapovu kuhusu mimi kusoma Havard.

Halafu unavosema eti wawekezaji hawatakuja Tanzania kwa sababu ya Rais, unaonesha wazi chuki zako kwa Rais Magufuli.

Juzi tu wamekuja wafanyabiashara wa Russia kuja kuwekeza Tanzania.

Bila kusahau kundi la wawekezaji kutoka Singapore waliotia nia ya kuwekeza dola Bilioni 3 Morogoro.
Ndege mmoja mkononi bora kuliko ishirini wanaoruka.
 
kweli kabisa Kuna propaganda za chuki zinapandikizwa kwa wananchi kwamba wafanyabiashara ni mashetani,wanaandamwa na serikali,wananyanganywa mashamba kama Zimbabwe,wanawagawia wakulima wadogo,mwisho wa siku wakulima wadogo wa Zimbabwe wameshindwa kulisha nchi,
"Mimi sikuchaguliwa na matajiri, nimechaguliwa na maskini" teh.. Eti umaskini ndio uzalendo
 
Ki ukweli kwa Mara ya kwanza tumepata rais mwigizaji, apiga ngoma yeye, anacheza yeye, hata comedy anafanya yeye, tazama sakata la sukari alivyogeuza sababu kua watu wanaficha sukari, wakati yeye ndiye aliyezuia sukari ya nje kuingia ndani. Najuta kumpa kura yangu.
Umesahau na push up
 
Watanzania ni wanafiki wa hali ya juu hata kama tunauona ukweli kwamba tunakwenda shimoni,siukosoi ule utafiti wa waingereza waliosema kwamba Tanzania inaongoza kwa unafiki duniani,anza na michango ya wabunge wa ccm bungeni,anaikosoa bajeti kwa asilimia mia halafu anaiunga mkono kwa asilimia mia
 
Back
Top Bottom