Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,707
- 5,317
Acheni kuchangia hoja hovyo hovyo, Zimbabwe na TV. Wapi na wapi kamaumefirisika hoja kaa kimya
Una maanisha hapo kwenye red kweli au TZ....
Acheni kuchangia hoja hovyo hovyo, Zimbabwe na TV. Wapi na wapi kamaumefirisika hoja kaa kimya
Acha kutoa mapovu kuhusu mimi kusoma Havard.
Halafu unavosema eti wawekezaji hawatakuja Tanzania kwa sababu ya Rais, unaonesha wazi chuki zako kwa Rais Magufuli.
Juzi tu wamekuja wafanyabiashara wa Russia kuja kuwekeza Tanzania.
Bila kusahau kundi la wawekezaji kutoka Singapore waliotia nia ya kuwekeza dola Bilioni 3 Morogoro.
.....wakati nchi zinashindana kuvutia mitaji ya wawekezaji nyie mko mna wa harass! unadhani serikali naweza kufanya yote???? yale yale ya Nyerere yanarudi, tuanze kupanga foleni hadi za sabuni na kuvaa ma kaniki na matairi ya magari!
Ukweli ndio huo sekta binafsi karibia zote zimepunguza wafanya kazi, na wako wanaotoka vyuoni kutafuta ajira kasi ya kufufua viwanda ni kichekesho kiwanda kinahitaji bilion 60 ili kianze kazi zinatengwa bilion 2, sijui ni kutojua au kufanya wananchi mazuzu?! inasikitsha sana.
Tumuombee Kaomba pia tujiombee. Kwa mwendo huu pabaya paja kwa kasi.First of all huwezi kuwa Havard product,second hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi(soma kitabu cha rich dad poor dad) au angalia movie ya wolves of wallstreet. Third nchi yoyote inahitaji wawekezaji,hakuna muwekezaji anaependa kuinvest hela yake kwenye nchi ya rais ambae ni unpredicted,rais ambae anaamini katika sifa za ki-robinhood za kurob from rich and giving free to the poor.Tanzania inaelekea kwenye economic doom!
Ni kweli hatuna muelekeo, tunazunguka tu.......
.......tumeshapotea
Hayo yawezekana kama serikali inatimiza wajibu wake. Inatoa uongozi, uongozi bora. Lakini kwa kutafuta pa kutumbua kila siku, inajikanyaga . Weka mfumo achia uendelee, rudi kuongoza nchi. Twiga kwa urefu wake ni wa majani ya juu ya mtiWewe unaelalamika kuwa hii serikali itakuwa kama Zimbabwe,Wewe unataka kila kitu kutoka serekalini,Lakini nakuambia fanya Kazi kwa Bidii utafanikiwa tuu.Serekali haiwezi kukufanyia kila kitu.Miaka 2 nchi inabadilka.wewe subiri.Subira yavutta kheri.
Kabla Mugabe hajaanza ujinga wake na usocialism, zimbabwe ilikuwa ni miongoni mwa nchi zenye ustawi mkubwa wa kiuchumi na kijamii barani Africa. Ndo ninayaona yanakuja Tanzania, soon
i. Private sekta itadorora kama ilivyo Zimbabwe.
ii. Nchi nyingi zitaisusa Tanzania kama Zimbabwe
iii. Wafanyabiasharana na wawekezaji wengi wataondoa mitaji yao Tanzania
Mfumuko wa bei utapaa na maisha yatakuwa magumu sana!
Leo kuna sehemu mfuko wa simenti hadi elfu 20 sukari hadi elfu 4000 - 5000
Ndo kwanza miezi 6 za Serikali madarakani!
UNA MAANA GANI HAPO KWENYE red
1) Kama wewe ni product ya Havard thibitisha (Huna lolote...)Acha kutoa mapovu kuhusu mimi kusoma Havard.
Halafu unavosema eti wawekezaji hawatakuja Tanzania kwa sababu ya Rais, unaonesha wazi chuki zako kwa Rais Magufuli.
Juzi tu wamekuja wafanyabiashara wa Russia kuja kuwekeza Tanzania.
Bila kusahau kundi la wawekezaji kutoka Singapore waliotia nia ya kuwekeza dola Bilioni 3 Morogoro.
uwii. mbona mnanitisha, sina hata cha kuficha kwenge dari kama wenzangu wenye magodauni.....Zimbabwe sukari ipo tena kiwango chake ni bora kuriko iyo tunayogombani wana brown..white na ile ingine sema kuanguka kwa Tanzania uchumi wake utakua wa kipekee Zim watakua juu zaidi anguko letu...
Acha kutoa mapovu kuhusu mimi kusoma Havard.
Halafu unavosema eti wawekezaji hawatakuja Tanzania kwa sababu ya Rais, unaonesha wazi chuki zako kwa Rais Magufuli.
Juzi tu wamekuja wafanyabiashara wa Russia kuja kuwekeza Tanzania.
Bila kusahau kundi la wawekezaji kutoka Singapore waliotia nia ya kuwekeza dola Bilioni 3 Morogoro.
mbona unahemuka, vikwazo vilikuja baadae watu waliponyang'anywa vyao kama hao jamaa wa sukari, bahati sio wazungu..Ww usiwe mjinga ,zimbabwe wana saction tanzania atuna saction usiwe mjinga , wanasema hata mjinga akinyamaza ataonekana mwelevu, sasa usitake kuonyesha ujinga wako au upumbuvu wa kutojua vitu kwa lazima ,nyamaza tu tutakuesabia muelewa umesikia , ngoja nikupe elimu ndogo zimbabwe wana sactions , katazo la uchumi ambalo limewekewa na usa ,nchi nyingi zinazoshirikiana na marekani hawaruhusiwi kufanya biashara za zimbabwe ,ngoja niishie hapa unavyoonekana ujui chochote nistumie nguvu nyingi sasa niletee mkubwa wako nimgundishe , mtu yoyote unaemwamini n mwelevu.
Hivi humu JF hakuna dislike([emoji107])Kabla Mugabe hajaanza ujinga wake na usocialism, zimbabwe ilikuwa ni miongoni mwa nchi zenye ustawi mkubwa wa kiuchumi na kijamii barani Africa. Ndo ninayaona yanakuja Tanzania, soon
i. Private sekta itadorora kama ilivyo Zimbabwe.
ii. Nchi nyingi zitaisusa Tanzania kama Zimbabwe
iii. Wafanyabiasharana na wawekezaji wengi wataondoa mitaji yao Tanzania
Mfumuko wa bei utapaa na maisha yatakuwa magumu sana!
Leo kuna sehemu mfuko wa simenti hadi elfu 20 sukari hadi elfu 4000 - 5000
Ndo kwanza miezi 6 za Serikali madarakani!