Ombudsman
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 3,565
- 3,737
hivi umesoma ulichoandika?kuhusu sukari nadhani unadanganya mchana kweupe kwani imesababishwa na wafanyabiashara walioficha sukari,
lakini hata hivyo. serikali. imejipanga kuagiza sukari ya kutosha unadhani hata baada ya serikali kuingiza sukari nchini bado itaendelea kuwa bei juu?