Naiona Zimbabwe ikija Tanzania

Naiona Zimbabwe ikija Tanzania

1) Kama wewe ni product ya Havard thibitisha (Huna lolote...)
2) Niambie nchi moja duniani inasaidiwa au inafaidika na wawekezaji kutoka Singapore..Hakuna
2) Niambie nchi moja ambayo Russia imeisaidia ikue kiuchumi...(Nikusaidie jibu..hakuna)
Naweza nikakuonyesha nchi moja ambayo Russia "ilijifanya inaisadia kiuchumi", inaitwa CUBA..imechoka mbaya..watu mjini bado wanatembelea ma Bedford ya mwaka 1957,mpaka sasa hivi wamarekani wameanza kuisaidia ndo imeanza kupumua angalau watu wanaona ni kiasi gani walipoteza miaka 50 ya uhasama na marekani kwa matumaini ya kusaidiwa na Russia yalikuwa bure...Sasa na nyinyi mnataka kutupeleka kulekule wengine wanasali Mungu awatoe..Mbaya zaidi mnataka tuwaombee mtufikishe huko

1) Nithibitishe kwako nimesoma Havard kwako, ili iweje?!

2)Acha kukariri hekaya za akina Mbowe.

3)Fungua link hii chini, uone kiasi cha raia wa Singapore walichowekeza India http://www.dealstreetasia.com/stori...st-source-of-foreign-direct-investment-22482/

4)Waulize Ukraine na Czech kiasi cha uwekezaji kilichowekezwa na Russians.

NB: England peke yake ina uwekezaji wa $300 Billions kutoka kwa Russians.
 
kweli kabisa Kuna propaganda za chuki zinapandikizwa kwa wananchi kwamba wafanyabiashara ni mashetani,wanaandamwa na serikali,wananyanganywa mashamba kama Zimbabwe,wanawagawia wakulima wadogo,mwisho wa siku wakulima wadogo wa Zimbabwe wameshindwa kulisha nchi,

Acha uongo wa mchana. Shamba la nani ambalo liko katika uzalishaji ambalo limetaifishwa na kupewa wakulima wadogowadogo?
Ukiona shamba limegaiwa kwa wakulima wadogo ujuwe kuwa hilo shamba lilikuwwa aliko katika uzalishaji..
Mashamba yaliyokuwa yametelekezwa nadio yanatogaiwa kwa wakulima wadogo...
Jamani mbona mnapenda kuongopa sana...
Naomba niambie shamba ambalo limegaiwa kwa wakulima wadogo ambalo lilikuw katika uzalishaji....
 
1) Nithibitishe kwako nimesoma Havard kwako, ili iweje?!

2)Acha kukariri hekaya za akina Mbowe.

3)Fungua link hii chini, uone kiasi cha raia wa Singapore walichowekeza India http://www.dealstreetasia.com/stori...st-source-of-foreign-direct-investment-22482/

4)Waulize Ukraine na Czech kiasi cha uwekezaji kilichowekezwa na Russians.

NB: England peke yake ina uwekezaji wa $300 Billions kutoka kwa Russians.
Wastage of time..Tanzania ilikuwa na urafiki na urusi toka Enzi za Nyerere,niambie Russia imeshawekeza hapa nchini sh ngapi, na ni ya ngapi kwa nchi wawekezaji.Charity begins at home..au unataka kuniambia ndo wameijua Tanzania leo?
 
NIna mashaka sana na predictions zako; sijaelewa ni kwanini umefikia conclusion ya jinsi hiyo? Baadhi ya mikoa cement imeanza kushuka bei (sio Dar) we unazungumzia habari ya kupanda bei? Kitu kilichoteteresha mambo nadhani ni sukari na to me nadhani hili ni jambo la mpito. Labda nikubaliane na wewe kitu kimoja, Magufuli hapaswi kuwadharau wafanya biashara, anatakiwa kufanya nao kazi hand in hand because bila wao pia nchi haiwezi kwenda. Serikali kwa sehemu kubwa inategemea KODI, na wanaotakiwa kulipa KODI ni hao wafanya biashara (najua kuna watu watabisha hili)
Kuhusu wawekezaji sidhani kama kuna mwekezaji anaweza kuondoa mtaji wake Tanzania, Tanzania ina kila kitu cha mfanya biashara makini kuweza kutengeneza faida, waondoe mitaji yao kwasababu gani? Kilichotokea Zimbabwe na Tanzania ni tofauti kidogo, Mugabe alinyang'anya mashamba ya Wazungu na kuwapa wapigania Uhuru ambao wala hawakua na maandalizi ya kulima na mara baada ya Wazungu kukosa mashamba, wengi wao waliondoka Zimbabwe na kwakua ndugu zao (mataifa ya magharibi) wanushirikiano na wazungu wa Zim, mataifa hayo yaliamua kuiwekea vikwazo Zimbabwe. Tanzania tumenyeng'anya mali ya NANI!?

Umezaliwa lini?

Utaifishaji wa mali za watu alioufanya Nyerere una tofauti gani na wa Mugabe?
 
Wastage of time..Tanzania ilikuwa na urafiki na urusi toka Enzi za Nyerere,niambie Russia imeshawekeza hapa nchini sh ngapi, na ni ya ngapi kwa nchi wawekezaji.Charity begins at home..au unataka kuniambia ndo wameijua Tanzania leo?
Nimekujibu hoja zako. Unanendeleza tena maswali yako ya kizwazwa.

Nimeongelea wawekezaji, swali ulilouliza mwanzo.

Tangu lini nchi ikawekeza ww kilaza?!

NB: Hoja ni wawekezaji.
 
Mugabe yupo katika wakati mgumu si kiuchumi tu ata kifamilia majuzi mke wake Grace Mugabe kamchapa kofi hadharani hii ni dalili mbaya sana kwa kiongozi wa nchi.
 
Nimekujibu hoja zako. Unanendeleza tena maswali yako ya kizwazwa.

Nimeongelea wawekezaji, swali ulilouliza mwanzo.

Tangu lini nchi ikawekeza ww kilaza?!

NB: Hoja ni wawekezaji.
Sasa kama unashindwa kujua ninavyoongelea urusi imewekeza hapa, namaanisha wawekezaji wazawa hata nchi yenyewe halaf wewe lofa unataka wadanganya watu ni product ya Havard! Havard my foot!Mbona china imewekeza reli ya TAZARA ambayo inachangia uchumi..kwani kuwekeza maana yake nini wewe mbwiga?
 
Sasa kama unashindwa kujua ninavyoongelea urusi imewekeza hapa, namaanisha wawekezaji wazawa hata nchi yenyewe halaf wewe lofa unataka wadanganya watu ni product ya Havard! Havard my foot!Mbona china imewekeza reli ya TAZARA ambayo inachangia uchumi..kwani kuwekeza maana yake nini wewe mbwiga?
Wewe kweli Kilaza, tofautisha miradi ya misaada na mikopo ya nchi kwa nchi. Nchi zingine hazina sera za misaada wala mikopo.
TAZARA ule si uwekezaji ni Msaada ambao lazima una masharti ndani yake.

Russia wanatusaidia,kwa njia tofauti, unajua kiasi cha idadi ya watanzania waliosoma Russia hadi leo ni ngapi!? Na wanasomeshwa bure na serikali ya Russia.

Kingine ulisema eti HAKUNA wananchi wa Russia walipowekeza popote. Nikakuambia England pekee yake wananchi wa Russia wamewekeza zaidi ya $300 Billions.

Kama unachukia wawekezaji wa Russia hilo ni tatizo lako.
 
Kabla Mugabe hajaanza ujinga wake na usocialism, zimbabwe ilikuwa ni miongoni mwa nchi zenye ustawi mkubwa wa kiuchumi na kijamii barani Africa. Ndo ninayaona yanakuja Tanzania, soon

i. Private sekta itadorora kama ilivyo Zimbabwe.

ii. Nchi nyingi zitaisusa Tanzania kama Zimbabwe

iii. Wafanyabiasharana na wawekezaji wengi wataondoa mitaji yao Tanzania
Mfumuko wa bei utapaa na maisha yatakuwa magumu sana!

Leo kuna sehemu mfuko wa simenti hadi elfu 20 sukari hadi elfu 4000 - 5000

Ndo kwanza miezi 6 za Serikali madarakani!
Wezi naona mnafanya kampeni ya kuanzisha thread nyingi ili kumkatisha tamaa rais wetu. Najua amewabana mabwana zenu na mabwana zenu wamewapa kibarua cha kumkatisha tamaa! Kumbukeni wananchi wengi kabisa tuko nyuma yake na harakati zenu zitaishia kuzimu!
 
Haina ubishi hiyo, Tanzania lazima ifanane na Zimbabwe.
 
Wewe kweli Kilaza, tofautisha miradi ya misaada na mikopo ya nchi kwa nchi. Nchi zingine hazina sera za misaada wala mikopo.
TAZARA ule si uwekezaji ni Msaada ambao lazima una masharti ndani yake.

Russia wanatusaidia,kwa njia tofauti, unajua kiasi cha idadi ya watanzania waliosoma Russia hadi leo ni ngapi!? Na wanasomeshwa bure na serikali ya Russia.

Kingine ulisema eti HAKUNA wananchi wa Russia walipowekeza popote. Nikakuambia England pekee yake wananchi wa Russia wamewekeza zaidi ya $300 Billions.

Kama unachukia wawekezaji wa Russia hilo ni tatizo lako.
Mzee wa fix niambie masharti ya TAZARA...Nimekuuliza Urusi wamewekeza Tanzania sh ngani unang'ang'ania England..England ndo Tanzania?
 
Wakaanga sumu mtapata vidonda vya tumbo bure. Mwacheni Jpm awatumikie watu wake kwa amani. Lipeni tu kodi ya Kaisari.
 
Kwa sera za uchumi za awamu hii!
Zimbabwe ileeee naiona kwa mbali inakuja
 
Umezaliwa lini?

Utaifishaji wa mali za watu alioufanya Nyerere una tofauti gani na wa Mugabe?
Mawazo ya kipumb.avu hayo. Umeusoma uzi tunao changia plus nilicho kichangia? Usipende kwenda nje ya maada, hatujadiri mambo ya Azimio la Arusha hapa. Jenga tabia ya kukaa kwenye uzi husika.
 
Hali ni mbaya sana nashauri wafabiashara wasitoe pesa,watakula hasara
 
Wewe ndiyo mpumbavu sana. Hujasomeshwa namna ya kujadili kitu kwa mantiki.

Unadai Nyerere hajanyang`anya mali za watu, wakati siyo kweli.

Kutoka nje ya mada ndio usijibiwe uwongo wako?

Tadili unavyopenda lakini uwongo utapingwa hapa. Nyerere hana tofauti na Mugabe inapokuja kupora mali za watu.

Hilo ni jibu la statement uliyobandika hapa la uwongo.
 
Wewe ndiyo mpumbavu sana. Hujasomeshwa namna ya kujadili kitu kwa mantiki.

Unadai Nyerere hajanyang`anya mali za watu, wakati siyo kweli.

Kutoka nje ya mada ndio usijibiwe uwongo wako?

Tadili unavyopenda lakini uwongo utapingwa hapa. Nyerere hana tofauti na Mugabe inapokuja kupora mali za watu.

Hilo ni jibu la statement uliyobandika hapa la uwongo.
Usikwepe, rudi kwenye maada na tena wewe ndio umeianzisha. Wapi nilipo mtaja Nyerere? Na hata kama Nyerere alinyang'anya mali za Wazungu, hivi unajua Enzi hizo za baada ya Azimio la Arusha hadi mwaka 1978/9 mambo yalikua bomba sana nchi hi? Mambo yaliharibika mara baada ya bvita vya Idd Amini. Ukweli utabaki hivi, uhusiano wa aliyoayafanya Mugabe kule Zimbabwe na anayo yafanya Magufuli hapa Tanzania ni mbali mbali, ni kama Mbingu na Ardhi. Naomba urudi kwenye maada, usikimbie please. Kama topic ingekua ni Nyerere basi hali ya Zimbabwe ingekua imeisha tufika siku nyingi, umelinganisha matendo ya Magufuli na Mugabe so tujikite hapo.
 
Usikwepe, rudi kwenye maada na tena wewe ndio umeianzisha. Wapi nilipo mtaja Nyerere? Na hata kama Nyerere alinyang'anya mali za Wazungu, hivi unajua Enzi hizo za baada ya Azimio la Arusha hadi mwaka 1978/9 mambo yalikua bomba sana nchi hi? Mambo yaliharibika mara baada ya bvita vya Idd Amini. Ukweli utabaki hivi, uhusiano wa aliyoayafanya Mugabe kule Zimbabwe na anayo yafanya Magufuli hapa Tanzania ni mbali mbali, ni kama Mbingu na Ardhi. Naomba urudi kwenye maada, usikimbie please. Kama topic ingekua ni Nyerere basi hali ya Zimbabwe ingekua imeisha tufika siku nyingi, umelinganisha matendo ya Magufuli na Mugabe so tujikite hapo.

Magufuli siyo Mugabe, na sijasema siasa zao ni sawa sawa. Wewe uliandika kuwa Nyerere hakunyang'anya mali za mtu. Na nikakujibu kuwa siyo kweli, alitaifisha mali za watu kama Mugabe alivyofanya.

Sijui una umri gani lakini Nyerere alitaifisha mali za wazungu na Watanzania pia. Labda kama ni mbaguzi wa rangi, ndio utakataa Watanzania wenye asili ya Kihindi/Kiarabu ni "wageni". Zile nyumba za Msajili Upanga kajenga Nyerere?

Una haki ya kupenda siasa za Nyerere , lakini maoni yangu ni kuwa alikuwa kiongozi Dikteta na siasa zake za Ujamaa ziliua uchumi wa nchi.

Mimi nimezaliwa wakati wa uongozi wake na sihitaji kuhadithiwa kuhusu uchumi wa Ujamaa na maovu yake.

Na nafahamu sana hapa JF kuna "Nyerere Apologists" wengi kama wewe. Na Vita vya Kagera ndiyo sababu yenu kubwa mnayoitumia.

Kabla ya 1978, Nyerere alikuwa anaomba msaada Marekani na nchi za ulaya kabla ya kuhamia China na Urusi. Labda unajifanya hujui hilo. Nchi bomba my ass!

Mimi simlinganishi Magufuli na Mugabe, nilikuwa nasahihisha statement yako ya uongo. Kaisome vizuri.

Ukisema "TANZANIA tumemnyang'anya NANI mali?" ni ujinga wa kutofikiri kwa kuwa Tanzania imeanza na uongozi wa Nyerere wa kuiba Mali za Watu kama Mugabe.

You can't pick and choose!

Magufuli anaanza kutumia ofisi yake kibabe. Hajamfikia Mugabe lakini anaelekea huko huko kwa Nyerere na Sokoine. Huu uchumi hautakua kibabe bali kwa kutumia sheria, siyo kwa kukurupuka.

Na kama wakati wa Ujamaa, wanaoumia na uongozi mmbovu ni walala hoi.
 
Back
Top Bottom