Kumbuka haya
1.Kuku ili watage wanahitaji chakula lishe nzuri sana ili 50%-60% ya kuku watage mayai kwa siku(huwa hawatagi kuku wote kwa siku)
2.Kuku anakula kwa uzito.yani in kilograms siyo kwa debe.kwa hiyo debe moja la chakula kwa kuku 25 labda ni 4days tu.unaweza walisha mwezi ila hautapata matokeo tarajiwa .
4.Ufugaji siyo shughuli ya kujaribu,ni yakudhamiria na kujipanga.
4.Ukipekela mayai 100 utapata vifaranga around 66 mpaka 70.
5.Tafuta taarifa za watalaamu wa mifugo ili uweze kunufaika na ufugaji.otherwise utatengeneza umaskini zaidi na ugonjwa wa moyo
1.Kuku ili watage wanahitaji chakula lishe nzuri sana ili 50%-60% ya kuku watage mayai kwa siku(huwa hawatagi kuku wote kwa siku)
2.Kuku anakula kwa uzito.yani in kilograms siyo kwa debe.kwa hiyo debe moja la chakula kwa kuku 25 labda ni 4days tu.unaweza walisha mwezi ila hautapata matokeo tarajiwa .
4.Ufugaji siyo shughuli ya kujaribu,ni yakudhamiria na kujipanga.
4.Ukipekela mayai 100 utapata vifaranga around 66 mpaka 70.
5.Tafuta taarifa za watalaamu wa mifugo ili uweze kunufaika na ufugaji.otherwise utatengeneza umaskini zaidi na ugonjwa wa moyo