Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,420
- 2,880
Habari za mids hii
Siku Kama nne hivi zilizopita nimenunua vifaranga 7 aina ya saso , sijawahi kufuga kuku ndo nimeamua jaribu , baada ya kuwachukua nilinunua starter 1Kg ndo wanaila ila hapa
Sasa naomba kuuliza utaratibu ukoje kuhusu chanjo Ni ipi na Kila baada ya muda gani , je wakiwa wanaumwa i.e kuharisha kusinzia niwape Nini
Kuhusu lengo la kuwafuga Bado sijajua kuwa nitaacha watage au nitawatafuna kabla hawajataga
Ushauri wenu tafadhali kwa Sasa naona Wana afya njema wanaruka ruka huko nje kwa makisio Wana week bila shaka nilisahau uliza niliponunua
Siku Kama nne hivi zilizopita nimenunua vifaranga 7 aina ya saso , sijawahi kufuga kuku ndo nimeamua jaribu , baada ya kuwachukua nilinunua starter 1Kg ndo wanaila ila hapa
Sasa naomba kuuliza utaratibu ukoje kuhusu chanjo Ni ipi na Kila baada ya muda gani , je wakiwa wanaumwa i.e kuharisha kusinzia niwape Nini
Kuhusu lengo la kuwafuga Bado sijajua kuwa nitaacha watage au nitawatafuna kabla hawajataga
Ushauri wenu tafadhali kwa Sasa naona Wana afya njema wanaruka ruka huko nje kwa makisio Wana week bila shaka nilisahau uliza niliponunua