Naihitaji msaada wenu kuhusu haya matokeo

Naihitaji msaada wenu kuhusu haya matokeo

Wakuu, mi ninamtoto nilikuwa namlea baada ya wazazi wake kushindwa kumlea tangu mdogo, na bahati mbaya hata hao wazazi kwa sasa hawajulikani hata walipo sababu waliachana na kila mmoja wao akapotelea anakujua mwenyewe, sasa huyu mtoto nimemsomesha shule za private kuanzia awali mpaka kidato cha nne, uwezo wangu wa msaada wa kielimu ukaishia hapo, kidato cha 5 na 6 nikampeleka shule ya serikali, sasa, sasa naomba kujua ni njia gani naweza kufanya huyu kijana aweze kupata mkopo wa elimu ya juu? Maana nasikia moja wapo ya kigezo cha kukosa mkopo ni kusomeshwa shule za private.

NB: mimi ni mlezi tu nilietoa mchango wangu kwake, na wazazi wake halisi hawajulikani walipo kwa sasa.
 
Wakuu, mi ninamtoto nilikuwa namlea baada ya wazazi wake kushindwa kumlea tangu mdogo, na bahati mbaya hata hao wazazi kwa sasa hawajulikani hata walipo sababu waliachana na kila mmoja wao akapotelea anakujua mwenyewe, sasa huyu mtoto nimemsomesha shule za private kuanzia awali mpaka kidato cha nne, uwezo wangu wa msaada wa kielimu ukaishia hapo, kidato cha 5 na 6 nikampeleka shule ya serikali, sasa, sasa naomba kujua ni njia gani naweza kufanya huyu kijana aweze kupata mkopo wa elimu ya juu? Maana nasikia moja wapo ya kigezo cha kukosa mkopo ni kusomeshwa shule za private.

NB: mimi ni mlezi tu nilietoa mchango wangu kwake, na wazazi wake halisi hawajulikani walipo kwa sasa.
Mnaanzia kwa Afisa mtendaji wa mtaa/ kata (tena wa Kata ndo vizuri)...Muende atawaandikia Barua maelezo/uthibitisho...
 
Habari wakuu natumaini wazima

Niende moja kwa moja kwenye mada kiufupi mtoto wa kaka yangu yaani mtoto wangu Mimi kama mnavyojua matokeo yametoka Jana ila sio mazuri amepata div3. Pts16 ya PCB yani EES nilikuwa nahitaji msaada wenu kimawazo

Je, ni chuo gani kizuri cha diploma anafaa aende maana hapo uwezo wa kusoma degree hana

Na ningependa vile vyuo ambavyo unalipa malazi na chakula sio vile ambavyo unajitegemea chakula na malazi yaani mfano kupanga

Ni hayo tu wakuu

Asanteni
vp tokeo la form four limekaaje?
 
Habari wakuu natumaini wazima

Niende moja kwa moja kwenye mada kiufupi mtoto wa kaka yangu yaani mtoto wangu Mimi kama mnavyojua matokeo yametoka Jana ila sio mazuri amepata div3. Pts16 ya PCB yani EES nilikuwa nahitaji msaada wenu kimawazo

Je, ni chuo gani kizuri cha diploma anafaa aende maana hapo uwezo wa kusoma degree hana

Na ningependa vile vyuo ambavyo unalipa malazi na chakula sio vile ambavyo unajitegemea chakula na malazi yaani mfano kupanga

Ni hayo tu wakuu

Asanteni
Ni-PM
 
rafiki yangu,kasoma CBG...kapata 3 ya 13.
Biology E
Chemistry E
Geography C
Course gani itamfaa na ukiangalia soko la ajira lakini yeye anataka akasomee education.
 
rafiki yangu,kasoma CBG...kapata 3 ya 13.
Biology E
Chemistry E
Geography C
Course gani itamfaa na ukiangalia soko la ajira lakini yeye anataka akasomee education.
Hapo hawez kupata chuo labda akasome diploma
 
rafiki yangu,kasoma CBG...kapata 3 ya 13.
Biology E
Chemistry E
Geography C
Course gani itamfaa na ukiangalia soko la ajira lakini yeye anataka akasomee education.
Hapati degree mkuu. Kuanzia mwaka wetu 2016 walikuwa wanataka D mbili katika masomo mawili. Yaani bora mwenye DDF kuliko EEA
 
Muhimbili, kcmc hawatoi hiyo kozi ya clinical medicine....labda Pharmacy, laboratory na radiology
Wanatoa clinical medicine, pharmacy na labaratory lakini kwa hayo matokeo ya olevel asipoteze muda hawezi pata nafasi wana demand qualifications kubwa
 
Hapo chuo anapata kwa ngazi za diploma kwa course yoyote ya afya zikiwemo Clinical officer, nursing,pharmacy, radiology, na nyingine zinazotolewa . Shida inakuja kwenye ushindani wa nafasi za kupata vyuo vizur apa nchin hasa kwa Course zote tajwa apo juu ila kwa Pharmacy wao uhitaj Pass za chemistry na Biology tu kama advantage ambavyo iko tofaut kwa course nyingine kuitaj physics , kiufup kama atapenda kusoma course za afya kwa ngazi ya diploma anapata , maana ana pass zote kikubwa ni ku fanya application katika vyuo vingi bila kubaguwa na kuchanganya course izo katika vyuo tofaut vya afya na kumbuka kumuomba Mungu

Kilalakheri!
 
Back
Top Bottom