Naihitaji msaada wenu kuhusu haya matokeo

Kunguru wa Manzese

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
12,469
17,580
Habari wakuu natumaini wazima

Niende moja kwa moja kwenye mada kiufupi mtoto wa kaka yangu yaani mtoto wangu Mimi kama mnavyojua matokeo yametoka Jana ila sio mazuri amepata div3. Pts16 ya PCB yani EES nilikuwa nahitaji msaada wenu kimawazo

Je, ni chuo gani kizuri cha diploma anafaa aende maana hapo uwezo wa kusoma degree hana

Na ningependa vile vyuo ambavyo unalipa malazi na chakula sio vile ambavyo unajitegemea chakula na malazi yaani mfano kupanga

Ni hayo tu wakuu

Asanteni
 
Kwa EES
Diploma
Arusha technical
Dar Institute of Technology
Maritine institute
Mihimbili
Kcms
Coetcs
 
Anapata au ana sifa
Ziko nyingiii kwa kuzingatia
F6 yuko njema na F4 pia yuko pouwa.
Kama F4 ana pass ya Physics na mathematics anaweza kuomba
Clinical Medicine
Muhimbili, kcmc hawatoi hiyo kozi ya clinical medicine....labda Pharmacy, laboratory na radiology
 
Habari wakuu natumaini wazima

Niende moja kwa moja kwenye mada kiufupi mtoto wa kaka yangu yaani mtoto wangu Mimi kama mnavyojua matokeo yametoka Jana ila sio mazuri amepata div3. Pts16 ya PCB yani EES nilikuwa nahitaji msaada wenu kimawazo....
Aombe kati ya hizi tatu

1. medical assistant (Clinical officer)

2. Pharmacy

3. Nursing and Midwifery

Vipo vyuo vingi tu vinatoa achana na Muhimbili na KCMC huko ni kwa wale wa jirani na chuo kwani sidhani kama wana hostel za diploma; Vyuo vipo vingi tu vyenye sifa stahiki...cheki website ya NACTE (Registered and Accredited Institutions).

Lazima chuo kiwe kina tambuliwa na Nacte ili huko baadae iwe rahisi kufanya mitihani na kupata kazi
 
Aombe kati ya hizi tatu
1. medical assistant (Clinical officer)
2. Pharmacy
3. Nursing and Midwifery
Vipo vyuo vingi tu vinatoa achana na Muhimbili na KCMC huko ni kwa wale wa jirani na chuo kwani sidhani kama wana hostel za diploma; Vyuo vipo vingi tu vyenye sifa stahiki...cheki website ya NACTE (Registered and Accredited Institutions)
Lazima chuo kiwe kina tambuliwa na Nacte ili huko baadae iwe rahisi kufanya mitihani na kupata kazi
Pitiaa na humu View attachment CAREER AND COURSES TIPS.pdf
 
Habari wakuu natumaini wazima

Niende moja kwa moja kwenye mada kiufupi mtoto wa kaka yangu yaani mtoto wangu Mimi kama mnavyojua matokeo yametoka Jana ila sio mazuri amepata div3. Pts16 ya PCB yani EES nilikuwa nahitaji msaada wenu kimawazo

Je, ni chuo gani kizuri cha diploma anafaa aende maana hapo uwezo wa kusoma degree hana

Na ningependa vile vyuo ambavyo unalipa malazi na chakula sio vile ambavyo unajitegemea chakula na malazi yaani mfano kupanga

Ni hayo tu wakuu

Asanteni
Nakushauri mpeleke open university akasome foundation course mwaka mmoja, ada ni 640,000 tu,mwakani atapata sifa ya kusoma degree chuo chochote kile
 
Nakushauri mpeleke open university akasome foundation course mwaka mmoja, ada ni 640,000 tu,mwakani atapata sifa ya kusoma degree chuo chochote kile
Foundation Course zilifutwa nafikiri 2016, hebu fuatilia
 
Back
Top Bottom