frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Katika habari za EATV radio sasa, alikuwa akikemea vyuo fake na kutazalisha waliovianzisha watachukuliwa hatua kali sana
Sasa ndani ya maongezi yake kasema neno "PLAYSTATION yani ITHIBATI", na mengi kachapia kweli
Ushauri wangu waziri huyu, unapo address kwa umma jaribu kutembea zaidi na kiswahili tu, kazi unaweza sana tatizo matamshi yako tu.
Sasa ndani ya maongezi yake kasema neno "PLAYSTATION yani ITHIBATI", na mengi kachapia kweli
Ushauri wangu waziri huyu, unapo address kwa umma jaribu kutembea zaidi na kiswahili tu, kazi unaweza sana tatizo matamshi yako tu.