MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"
Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.
Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.
Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.
Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.
Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.
Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.
Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.