Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema zuio la mikutano ya hadhara halilengi kukiuka misingi ya demokrasia nchini, bali kuimarisha ulinzi na usalama, akisisitiza kuwa demokrasia bila mipaka ni fujo.
Katambi amesema hayo leo, Juni 29, 2026, katika mahojiano na Shirika la...