Naibu Waziri Patrobas Katambi acha Uongo bado hujafikia huku unakojimwambafai nako na una mengi tu ya Kujifunza

"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"

Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.

Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.

Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.

Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
He is too young and premature in politics to be a master of every walk. "Utoto na cheo vinasumbua".
 
Fanya yako weye!Acha ujuaji wa usiyoyajua.Lia basi kama umenuna!
Ninune!? Kwa lipi?! Nimekueleza ambacho katika makuuzi yako hujawahi kuambiwa- ROHO YANGU IMERIDHIKA. Narudia tena- kurejea maumbile ya binadamu mwenzako ni tusi- si ustaraabu- shika neno hilo kuanzia leo.
 
Ninune!? Kwa lipi?! Nimekueleza ambacho katika makuuzi yako hujawahi kuambiwa- ROHO YANGU IMERIDHIKA. Narudia tena- kurejea maumbile ya binadamu mwenzako ni tusi- si ustaraabu- shika neno hilo kuanzia leo.
Weye jamaa ngoja nikutafutie msumeno upunguze hayo meno.Kwani ni mimi ndiye nilikutuma uwe mzembe kupiga mswaki kila siku hadi uwe na "mimeno" mibaya?Dental fomyula yako ni mbovu!Meno yako kuwa mabaya ndiyo unichukie mimi?😝😝😝😝😝
 
Ndugu mbona hii Picha yake ya Pili Mdomo wake unang'aa kama vile unavyong'aa wa Demu wangu akiwa anapakaa vile tuvituvitu vyao?

au huyu Dogo nae ameanza kuwa Bata?
Hapo Ni wakati mwenyekiti wenu wa bavicha.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"

Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.

Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.

Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.

Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Mtu una practice vipi in black and white?

Amandla...
 
Komredi Patrobass.P.Katambi....

Mtunduizi wa siasa za vyuo vikuu na aliyeacha alama TAHLISO....

Nimekuwa na mh.Katambi katika harakati zetu vyuo vikuu huku nikimtambua kama mzalendo mwenye maono kuntu na fikra chanya mno.....

Ngazi alizopanda si za kubebwa "kizwazwa" tu kwani unapohitaji vijana imara basi Katambi huwezi kumuwacha nje ya ulingo....

Komredi Mbowe aliuona uwezo wake mkubwa na kuamua kumchukua CHADEMA na hatimaye akawa MWENYEKITI WA BAVICHA......

Alipokuwa BAVICHA alionekana "lulu" kwelikweli 🤣

Kwa nafasi hiyo hakika anakijua vyema CHADEMA na anamjua vyema mh.Mbowe.....

#SiempreJMT
#KaziIendelee💪
 
Back
Top Bottom