Naibu Waziri Patrobas Katambi acha Uongo bado hujafikia huku unakojimwambafai nako na una mengi tu ya Kujifunza

ukisha lamba miguu,
inabidi uendelee kuilamba tuu ili mkono uzidi kwenda kinywani,
hatakama itabid ubadili misimamo yako uliyo kua nayo awali.

Eg - Kina Kabudi, Bashiru, Pole pole, nawengine.

Viongozi wetu wengi, niviongozi Njaa njaa.
And bahati mbaya sana wapo kotekote, upinzani na utawala! Tatizo linakuja pale wafuasi wa upinzani kuona viongozi wao ni malaika sana na hawatakiwi kuguswa kwa chochote
 
"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"

Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.

Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.

Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.

Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Hongera kwa moyo wa kijasiri wa kufuatilia Mawaziri duni
 
Huyu si ndiyo kuna siku mwananchi mmoja alimvimbia kwenye mkutano wa hadhara "waziri usinivunjie heshima, usinivunjie heshima weweee" halafu akapaniki na kuamuru polisi wamkamate??
Ndio huyu......hawezi control jazba ......utoto kibao....
 
"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"

Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.

Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.

Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.

Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
ACHA CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU- hao ulio wataja nani amewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama chake kama si Katambi tu
 
"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"

Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.

Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.

Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.

Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Mwambie akapige mswaki.
Yeye ashukuru Mungu anakula na kwenda chooni hayo mengine ni kuvimbiwa tu.
 
Mbona anaonekana meno yamezidi wingi mdomoni?Afanyiwe operation ya dental-fomyula!😝😝😝😝
ndo akili zako zimeishia hapo- kusema maumbile ya mtu- unajua huko ni kutukana. Utakuwa umelelewa vibaya na nyinyi ndio wale Sirro alikuwa anawasema kupitia kwa Hamza
 
ndo akili zako zimeishia hapo- kusema maumbile ya mtu- unajua huko ni kutukana. Utakuwa umelelewa vibaya na nyinyi ndio wale Sirro alikuwa anawasema kupitia kwa Hamza
Mpuuzi mwingine ni weye.Alinilea mama yako?Acha ushankupe.Unanipangia la kuandika?Kila kitu kinachoandikwa JF unataka kiendane na mawazo au hisia zako?Kafie porini kule!
 
Mpuuzi mwingine ni weye.Alinilea mama yako?Acha ushankupe.Unanipangia la kuandika?Kila kitu kinachoandikwa JF unataka kiendane na mawazo au hisia zako?Kafie porini kule!
Kumbe unachukia kutukanwa? AJABU. Acha kutukana wenzako sasa- JIHESHIMU ILI UHESHIMIWE. Vinginevyo wewe ni Hamza tu na kwa matendo yako utafanya wazazi wako watukanwe pia
 
Kumbe unachukia kutukanwa? AJABU. Acha kutukana wenzako sasa- JIHESHIMU ILI UHESHIMIWE. Vinginevyo wewe ni Hamza tu na kwa matendo yako utafanya wazazi wako watukanwe pia
Fanya yako weye!Acha ujuaji wa usiyoyajua.Lia basi kama umenuna!
 
Back
Top Bottom