And bahati mbaya sana wapo kotekote, upinzani na utawala! Tatizo linakuja pale wafuasi wa upinzani kuona viongozi wao ni malaika sana na hawatakiwi kuguswa kwa chochoteukisha lamba miguu,
inabidi uendelee kuilamba tuu ili mkono uzidi kwenda kinywani,
hatakama itabid ubadili misimamo yako uliyo kua nayo awali.
Eg - Kina Kabudi, Bashiru, Pole pole, nawengine.
Viongozi wetu wengi, niviongozi Njaa njaa.
Hongera kwa moyo wa kijasiri wa kufuatilia Mawaziri duni"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"
Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.
Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.
Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.
Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Mjinga mjingaKijitu hakina hata Exposure ya maana au ya Kutisha leo Kinajimwambafai kujua Siasa zote za ndani na nje ya Tanzania.
Ndio huyu......hawezi control jazba ......utoto kibao....Huyu si ndiyo kuna siku mwananchi mmoja alimvimbia kwenye mkutano wa hadhara "waziri usinivunjie heshima, usinivunjie heshima weweee" halafu akapaniki na kuamuru polisi wamkamate??
Jiongezee mzeeNdugu mbona hii Picha yake ya Pili Mdomo wake unang'aa kama vile unavyong'aa wa Demu wangu akiwa anapakaa vile tuvituvitu vyao?
au huyu Dogo nae ameanza kuwa Bata?
ACHA CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU- hao ulio wataja nani amewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama chake kama si Katambi tu"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"
Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.
Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.
Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.
Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Mwambie akapige mswaki."Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"
Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.
Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.
Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.
Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Mbona anaonekana meno yamezidi wingi mdomoni?Afanyiwe operation ya dental-fomyula!😝😝😝😝
sure kabisa yani,And bahati mbaya sana wapo kotekote, upinzani na utawala! Tatizo linakuja pale wafuasi wa upinzani kuona viongozi wao ni malaika sana na hawatakiwi kuguswa kwa chochote
sioni tofauti yenu- kuku mmoja yai mojaDaaaH
hawa ndo wanao fanya vijana tuonekane hatufai kupewa madaraka....
hahaha,sioni tofauti yeni- kuku mmoja yai moja
ndo akili zako zimeishia hapo- kusema maumbile ya mtu- unajua huko ni kutukana. Utakuwa umelelewa vibaya na nyinyi ndio wale Sirro alikuwa anawasema kupitia kwa HamzaMbona anaonekana meno yamezidi wingi mdomoni?Afanyiwe operation ya dental-fomyula!😝😝😝😝
Mpuuzi mwingine ni weye.Alinilea mama yako?Acha ushankupe.Unanipangia la kuandika?Kila kitu kinachoandikwa JF unataka kiendane na mawazo au hisia zako?Kafie porini kule!ndo akili zako zimeishia hapo- kusema maumbile ya mtu- unajua huko ni kutukana. Utakuwa umelelewa vibaya na nyinyi ndio wale Sirro alikuwa anawasema kupitia kwa Hamza
Hizi picha naona alienda saluni kupakwa "mekap".
Kumbe unachukia kutukanwa? AJABU. Acha kutukana wenzako sasa- JIHESHIMU ILI UHESHIMIWE. Vinginevyo wewe ni Hamza tu na kwa matendo yako utafanya wazazi wako watukanwe piaMpuuzi mwingine ni weye.Alinilea mama yako?Acha ushankupe.Unanipangia la kuandika?Kila kitu kinachoandikwa JF unataka kiendane na mawazo au hisia zako?Kafie porini kule!
Fanya yako weye!Acha ujuaji wa usiyoyajua.Lia basi kama umenuna!Kumbe unachukia kutukanwa? AJABU. Acha kutukana wenzako sasa- JIHESHIMU ILI UHESHIMIWE. Vinginevyo wewe ni Hamza tu na kwa matendo yako utafanya wazazi wako watukanwe pia
Kujipendekeza na mikafara tu......eti anajua siasa mpuuzi