Ile yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vileLeteni ile picha yake nyimgine
Alipojitoa akili na kugonga tapishi......akajipendekeza na kutumika ....njaa iko kichwani ubongo uko tumboniMbona wakati ule alipokuwa bavichaa hukumuita mpuuzi?
Akatibiwe kwanza meno"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"
Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.
Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.
Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.
Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Balaa tupuIle yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vile
Hapo ndio mnapopotea nyie makamanda uchwara. Oh Lowassa ni fisadi lakini akija kwenu anakuwa malaika na kupewa tiketi ya kugombea urais, ha ha ha.Alipojitoa akili na kugonga tapishi......akajipendekeza na kutumika ....njaa iko kichwani ubongo uko tumboni
Hapo ndio mnapopotea nyie makamanda uchwara. Oh Lowassa ni fisadi lakini akija kwenu anakuwa malaika na kupewa tiketi ya kugombea urais, ha ha ha.
Mwenye damu ya kunguni, huyo dogo hapendeki kabisaKatambi anaongea utadhani wanaomsikiliza ni wapori-pori wenzake tu.
Ndio hako hako kashamba kwelikweliHuyu si ndiyo kuna siku mwananchi mmoja alimvimbia kwenye mkutano wa hadhara "waziri usinivunjie heshima, usinivunjie heshima weweee" halafu akapaniki na kuamuru polisi wamkamate??
Elimu gani? kalikariri tuu miji mikuu ya Africa kakapasi mtihaniKukosa exposure ya maisha na kazi pia ndio kunamfanya yule kijana kuwa vile na sio yeye tu, wapo wengi ambao wamekuwa wajinga baada ya kuzawadiwa vyeo na kujiona wana akili sana kumbe ukiwaweka kwenye competition na vijana wengi wanaachwa mbali sana...
Ni vyema teuzi za serikali na hivi vyama ziangalie sana watu wakuwapa vyeo na ofisi... elimu bila exposure inaweza isiwe na msaada, vijana wengi wamepata elimu lakini exposure hawana matokeo yale wanaishia kuwa malimbukeni waliopitiliza...kusoma pia kuende sambamba na kuelimika...
Komredi Patrobass.P.Katambi....
Mtunduizi wa siasa za vyuo vikuu na aliyeacha alama TAHLISO....
Nimekuwa na mh.Katambi katika harakati zetu vyuo vikuu huku nikimtambua kama mzalendo mwenye maono kuntu na fikra chanya mno.....
Ngazi alizopanda si za kubebwa "kizwazwa" tu kwani unapohitaji vijana imara basi Katambi huwezi kumuwacha nje ya ulingo....
Komredi Mbowe aliuona uwezo wake mkubwa na kuamua kumchukua CHADEMA na hatimaye akawa MWENYEKITI WA BAVICHA......
Alipokuwa BAVICHA alionekana "lulu" kwelikweli 🤣
Kwa nafasi hiyo hakika anakijua vyema CHADEMA na anamjua vyema mh.Mbowe.....
#SiempreJMT
#KaziIendelee💪
Mkuu, taratibu!Ile yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vile
Ile yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vile
Ile yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vile