Naibu Waziri Patrobas Katambi acha Uongo bado hujafikia huku unakojimwambafai nako na una mengi tu ya Kujifunza

"Nazijua Siasa za ndani na nje ya Tanzania pengine kuliko Wanasiasa wengi nchini na nimezipractise in black and white nje ndani hivyo hakuna wa Kunidanganya"

Chanzo: Radio One Promo ya Kipindi cha dakika 45 cha Jumatatu ya tarehe 6 Septemba 2021.

Tafadhali kama Patrobas Katambi yupo ( ni JF Member ) hapa naomba ajitokeze kwani nina Maswali yangu Kabambe Kwake ili nithibitishe hizi Sifa zake na huku Kujimwambafai Kwake.

Vijana kumbe Vyeo huwa Vinawalevya mpaka kufikia Kujiona mnaijua vyema Tanzania na Mataifa mengine wakati wengine mnajulikana kuwa hamna Exposure yoyote ile sana sana Madaraka mliyonayo ni ya kupewa tu Zawadi au Kubebwa kutokana na ama Ukabila au Ushirikina wenu wa Kutoa Makafara.

Kujimwambafai huku ningekusikia kutoka kwa Watu kama akina January Makamba na Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba au Zitto Kabwe nisingeshangaa au Kuhoji ila nikiyasikia kutoka kwa Mshamba ( Mlugaluga ) fulani tu lazima nitajua kuna ulakini na sitoamini / sitomuamini.
Akatibiwe kwanza meno
 
Kukosa exposure ya maisha na kazi pia ndio kunamfanya yule kijana kuwa vile na sio yeye tu, wapo wengi ambao wamekuwa wajinga baada ya kuzawadiwa vyeo na kujiona wana akili sana kumbe ukiwaweka kwenye competition na vijana wengi wanaachwa mbali sana...

Ni vyema teuzi za serikali na hivi vyama ziangalie sana watu wakuwapa vyeo na ofisi... elimu bila exposure inaweza isiwe na msaada, vijana wengi wamepata elimu lakini exposure hawana matokeo yale wanaishia kuwa malimbukeni waliopitiliza...kusoma pia kuende sambamba na kuelimika...
 
Alipojitoa akili na kugonga tapishi......akajipendekeza na kutumika ....njaa iko kichwani ubongo uko tumboni
Hapo ndio mnapopotea nyie makamanda uchwara. Oh Lowassa ni fisadi lakini akija kwenu anakuwa malaika na kupewa tiketi ya kugombea urais, ha ha ha.
 
Kukosa exposure ya maisha na kazi pia ndio kunamfanya yule kijana kuwa vile na sio yeye tu, wapo wengi ambao wamekuwa wajinga baada ya kuzawadiwa vyeo na kujiona wana akili sana kumbe ukiwaweka kwenye competition na vijana wengi wanaachwa mbali sana...

Ni vyema teuzi za serikali na hivi vyama ziangalie sana watu wakuwapa vyeo na ofisi... elimu bila exposure inaweza isiwe na msaada, vijana wengi wamepata elimu lakini exposure hawana matokeo yale wanaishia kuwa malimbukeni waliopitiliza...kusoma pia kuende sambamba na kuelimika...
Elimu gani? kalikariri tuu miji mikuu ya Africa kakapasi mtihani
 
Komredi Patrobass.P.Katambi....

Mtunduizi wa siasa za vyuo vikuu na aliyeacha alama TAHLISO....

Nimekuwa na mh.Katambi katika harakati zetu vyuo vikuu huku nikimtambua kama mzalendo mwenye maono kuntu na fikra chanya mno.....

Ngazi alizopanda si za kubebwa "kizwazwa" tu kwani unapohitaji vijana imara basi Katambi huwezi kumuwacha nje ya ulingo....

Komredi Mbowe aliuona uwezo wake mkubwa na kuamua kumchukua CHADEMA na hatimaye akawa MWENYEKITI WA BAVICHA......

Alipokuwa BAVICHA alionekana "lulu" kwelikweli 🤣

Kwa nafasi hiyo hakika anakijua vyema CHADEMA na anamjua vyema mh.Mbowe.....

#SiempreJMT
#KaziIendelee💪

..Chadema walidhani Katambi atawafaa.

..lakini kila anayefuatilia siasa anajua kwamba Bavicha chini ya Katambi ilikuwa imedorora.

..Katambi anatakiwa awe makini sana vinginevyo anaweza kuwa mbunge wa kipindi kimoja na yeye bado ni kijana.
 
27289.jpeg
Ile yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vile

Ile yenye mijino michafu kama anakula mavi ya ng'ombe vile
 
Huyu alibebwa na ilesera ya kandayetu...sasa wanapukutishwa!!
Yaani Ridhwani akaebench huyu mpush awe NW? anavumiliwa tuu saoote atalambwa kichwa amalizie kaubunge kamiaka mi5
 
Back
Top Bottom