Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Awali, akizungumzia ajali hiyo, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Singida, ACP Stella Mutabihirwa amesema imesababisha vifo vya Watu 13 na kujeruhi wengine 34.
ACP Stella Mutabihirwa amesema “Ajali imetokea leo Novemba 29, 2023 Saa 10 Alfajiri, basi lilikuwa na Watu 57, idadi hiyo ya majeruhi na vifo ni mpaka muda wa asubuhi.
Ameongeza “Kichwa cha Treni kilichohusika kina Namba za Usajili V1951-9006, kilikuwa kikitokea Itigi kuelekea Manyoni.”