100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,733
- 30,457
Mkuu kuna juhudi za kila aina hivi sasa zinatumika kumuokoa Samia, wanatumia kila aian ya mbinu uijuayo kuhakikisha hio kesi haifanikiwi, kikubwa upande wa pili ni kuendelea kuililia ICC tu itende haki.Hii ina maana kwamba wanao wito, na wanajaribu kutafuta pa kutokea. Kombo anajaribu kuwaelimisha na pia jamaa wa ICC wanataka kuja jufanya investigation serikali ya samia inawazuia. Hapo ndo wanapojikoroga hasa. Kombo ata ukisema video ni fake haisaidii. Hii si mahakama za kit anzania ambazo rostam alisema zinapigiwa simu. Elewa waliowashitaki wapo Madrid na South Africa. Sasa unapomueleza jamaa kwamba mmeunda tume hili kuchunguza ni ujinga mtupu. Hata sheria za Tanzania haziruhusu mtuhumiwa kujipeleleza, kujihukumu mwenyewe. Please Kombo prepare for ICC, we know you are not ready to allow them to investigate. Please answer the ICC letter please.
Maana jamaa ni wataalamu wa maigizo, ukiwaona jinsi wanavyojichekesha na kuonyesha unyenyekevu mbele ya wakubwa na wawakilishi wa ICC utasema ni watu kumbe wanyama.
CHondechonde ICC iendelee kukazia palepale.