Nahitaji Wakili/Mwanasheria aliyepo Mbeya Jiji kwa ajili ya kusimamia kesi yangu

Jeff

JF-Expert Member
Sep 26, 2009
1,293
199
Habarini wana Great Thinkers,

Natafuta wakili au mwanashetia aliyopo Mbeya. Nina mgogo wa ardhi/shamba ambao ulisikilizwa kwenye mahakama ya mwanzo na imetolewa hukumu. Sasa nahitaji kukataa rufaa mahakama kuu mjini Mbeya.

Hivyo basi nahitaji wakili au mwanasheria aliyepo mjini Mbeya ili tuweze kuzungumza.

NB: Naomba kuuliza pia hizi siku 45 wanazotoa baada ya hukumu kuwa inatakiwa rufaa ifunguliwe kabla ya siku 45 kupira. Je, zinahesabiwa tokea siku ya hukumu ya kesi au inahesabiwa baada ya hakimu kusaini file la kukata rufaa?

Wasalaam
 
IMG-20230423-WA0001.jpg

Huyo hapo
 
Habarini wana Great Thinkers
Natafuta wakili au mwanashetia aliyopo Mbeya. Nina mgogo wa ardhi/shamba ambao ulisikilizwa kwenye mahakama ya mwanzo na imetolewa hukumu. Sasa nahitaji kukataa rufaa mahakama kuu mjini Mbeya.
Hivyo basi nahitaji wakili au mwanasheria aliyepo mjini Mbeya ili tuweze kuzungumza.
NB: Naomba kuuliza pia hizi siku 45 wanazotoa baada ya hukumu kuwa inatakiwa rufaa ifunguliwe kabla ya siku 45 kupira. Je zinahesabiwa tokea siku ya hukumu ya kesi au inahesabiwa baada ya hakimu kusaini file la kukata rufaa?
Wasalaam
siku 45 zinaanzia katika siku na terehe ambayo hukumu ilitolewa,Hivyo changa karata zako mapema na kwa wakati
 
Mtafute Sugu tu hapo ongea naye atakusaidia kuwapata.bujibuji pia.
Mambo madogo hayo.
 
Zikipita hizo siku 45 na bado hakimu hajasaini file inakuwaje hapo?
unaweza kuendelea kukata rufaa hata kabla ya kuto kwa hukumu au baadhi ya document kuwa hazisaijiniwa,ila i vyema ukapata wakili ambaye atakusaidia katika rufaa
 
unaweza kuendelea kukata rufaa hata kabla ya kuto kwa hukumu au baadhi ya document kuwa hazisaijiniwa,ila i vyema ukapata wakili ambaye atakusaidia katika rufaa
Ndio hapa natafuta WAKILI, mana nilimpata wakili mmoja lakini ameniingiza chaka. Alisema wataanza kuhesabu hakimu akisaini file la hukumu
 
Ndio hapa natafuta WAKILI, mana nilimpata wakili mmoja lakini ameniingiza chaka. Alisema wataanza kuhesabu hakimu akisaini file la hukumu
Yupo sahihi siku zinahesabiwa pale ambapo judgement imesainiwa na hakimu
 
Habarini wana Great Thinkers
Natafuta wakili au mwanashetia aliyopo Mbeya. Nina mgogo wa ardhi/shamba ambao ulisikilizwa kwenye mahakama ya mwanzo na imetolewa hukumu. Sasa nahitaji kukataa rufaa mahakama kuu mjini Mbeya.
Hivyo basi nahitaji wakili au mwanasheria aliyepo mjini Mbeya ili tuweze kuzungumza.
NB: Naomba kuuliza pia hizi siku 45 wanazotoa baada ya hukumu kuwa inatakiwa rufaa ifunguliwe kabla ya siku 45 kupira. Je zinahesabiwa tokea siku ya hukumu ya kesi au inahesabiwa baada ya hakimu kusaini file la kukata rufaa?
Wasalaam
Kuna changamoto moto mkuu kwenye maelezo yako kesi za ardhi hazisikilizwi mahakama ya mwanzo bali migogoro ya ardhi huwa inaanza kwenye mabaraza ya ardhi ya kata ikitoka hapo inaenda mabaraza ya wilaya ,sasa je wewe kesi yako ilikuwa baraza la wilaya au?
 
Back
Top Bottom