Utazungushwa hadi upate kizunguzunguKwanini uwatumie vishoka
Kwanini usikamilishe nyaraka
Zako zote zinazohitajika uhamiaji
Kwa ajili ya application ya port
Mbona nyie hamjiamini
Ova
Vyote leta, kinachobebeka we kibebe tuNitakubebea debe 2 za viazi bila kusahau matoki kama wewe ni mpenzi wa ndizi😁😁
mimi akija mtu akinambia ukipata passport yako ndo ulipie mi naona Ok hata 500k nampaIla uwe makini vijana wa mjini wasijekupita na hela yako na passport usiipate
Marehemu Said Mwamba Kizota a.k.a Baba Tosha angekuwepo duniani angekusaidia kuipata tena kwa muda mfupi tu.Wakuu wasalaamu!!
Kama kichwa kinavyojieleza nimepata safari ya haraka sana, sasa nimepitia nyuzi mbalimbali kuhusu kuchelewa kwa passport na usumbufu uliopo uhamiaji hasa ukiwa mkoani.
Ipo hivi nilianza kufatilia passport mwanzoni mwa mwezi wa 3 nikiwa mkoa A lakini cha ajabu nilikuwa nikienda ni mwendo wa kuzungushwa tu mara mtandao unasumbua, mara njoo kesho tuangalie, nikajaza fomu lakini wapi naishiwa kuambiwa subiri wiki ijayo.
Nina safari mwezi wa 5 tarehe moja na mdhamini wangu amechachamaa kwelikweli ananiona mzugaji tu.
Sasa nimeamua niende Dar nikafanyie process zote palepale Uhamiaji Kurasini, hivyo naomba msaada kwa mwenye namba za mtu mjanja anayeweza kunifanyia mchakato nikapata passport ya express ndani ya siku moja au mbili niwe nimeipata bila usumbufu maana nimemuandalia posho yake kabisa.
Cc Mshana Jr
IsangaJr
[USER=30674]kalaga BahoNongwa
ZEE LA JIJI
Evelyn Salt
Smart911
[USER=127896]mwashamba
Unaweza kunionaWakuu wasalaamu!!
Kama kichwa kinavyojieleza nimepata safari ya haraka sana, sasa nimepitia nyuzi mbalimbali kuhusu kuchelewa kwa passport na usumbufu uliopo uhamiaji hasa ukiwa mkoani.
Ipo hivi nilianza kufatilia passport mwanzoni mwa mwezi wa 3 nikiwa mkoa A lakini cha ajabu nilikuwa nikienda ni mwendo wa kuzungushwa tu mara mtandao unasumbua, mara njoo kesho tuangalie, nikajaza fomu lakini wapi naishiwa kuambiwa subiri wiki ijayo.
Nina safari mwezi wa 5 tarehe moja na mdhamini wangu amechachamaa kwelikweli ananiona mzugaji tu.
Sasa nimeamua niende Dar nikafanyie process zote palepale Uhamiaji Kurasini, hivyo naomba msaada kwa mwenye namba za mtu mjanja anayeweza kunifanyia mchakato nikapata passport ya express ndani ya siku moja au mbili niwe nimeipata bila usumbufu maana nimemuandalia posho yake kabisa.
Cc Mshana Jr
IsangaJr
[USER=30674]kalaga BahoNongwa
ZEE LA JIJI
Evelyn Salt
Smart911
[USER=127896]mwashamba
Ebu msaidie huyu jamaa yetu.Marehemu Said Mwamba Kizota a.k.a Baba Tosha angekuwepo duniani angekusaidia kuipata tena kwa muda mfupi tu.
Sitaki Swali lolote tafadhali.
Unaweza kuniona ...Sawa mkuu.
Mkuu angalizo tu, usimtumie mtu pesa wala kumpa kabla hujaishika hiyo pass mkononi, zingatia hilo, la sivyo utatapeliwa sasa hivi!Pm yako imefungwa fungua nakuja
fanya hivi utapata haraka tu , achana na vishoka watakulizaNenda office za uhamiaji na barua ya dhumuni la safari,na nyaraka zinginezo huku utakutana na vishoka tu mwisho wakutapeli pesa zako
nenda pale pale makao makuu dar utasaidika haraka tu usijariBasi hao sina muda nao, nina baadhi ya maafisa wa hapa mkoani ila nao nimeona ni miyeyusho tu nataka waliopo Dar nimalizane nao kiutu uzima mkuu!