Nahitaji passport ya kusafiria haraka iwezekanavyo

Nahitaji passport ya kusafiria haraka iwezekanavyo

Hapana mkuu ni LEGIT,anasaidia watu kupata passport,Maombi ya Visa..
Hizi passport za kuombea online hata kwa simu yako!!😃 si afanye taratibu zote akienda ofisi za uhamiaji anamalizana nao kabisa kuliko kumpa kishoka sijui laki4 afu mhusika anapewa laki unusu kutoa passport
 
Bora umemwambia mkuu, utaratibu ndo upo hivyo hata mimi nafahamu wakitaka kukuzuga watakwambia siku 10 lakini ni siku 14, sasa mtu unataka kuharakisha mambo unafanyaje??
Mambo yanaongeleka, fanya taratibu zote online maana lazima utaziprint na utazipeleka physically zipitishwe ngazi ya wilaya then mkoa, unapofika pale unampa kama ni dar huyo huyo anayeshughulikia unaongea naye na pesa unampa huyo anakukamilishia faster au unafikiri vishoka wanawapa kina nani pesa? Afu kishoka unampa laki4 afu akiingia ofisini anampa ofisa laki mpaka laki na nusu inakuwa imetoka hiyo.
 
Mambo yanaongeleka, fanya taratibu zote online maana lazima utaziprint na utazipeleka physically zipitishwe ngazi ya wilaya then mkoa, unapofika pale unampa kama ni dar huyo huyo anayeshughulikia unaongea naye na pesa unampa huyo anakukamilishia faster au unafikiri vishoka wanawapa kina nani pesa? Afu kishoka unampa laki4 afu akiingia ofisini anampa ofisa laki mpaka laki na nusu inakuwa imetoka hiyo.
Nikimalizana nao inachukua muda gani kwa uzoefu wako??
 
Watu wanafuata hizo taratibu na wanasubiri passport miezi 6 na hawazipati.
Passport ni siku 14 kama hauna haraka hata hazizidi hata uwe mkoani mkuu no research no right to speak alijisemea yule jamaa. Tena bila rushwa yoyote ukiwa na documents zoote zinazohitajika process nzima inakuwa inakuelekeza nini cha kufanya, nini cha kuattach unafikia mahali unaprint unaenda inasiniwa ngazi ya uhamiaji wilaya unalipia efu20, unaenda ngazi ya uhamiaji mkoa wanaipitisha u unalipia laki na 30 unasubiria siku 14 tu unaitiwa Passport yako imetoka. Nayasema haya kwasababu nime experience kwa kuyafanya mwenyewe na watu wangu wa karibu pia bila rushwa, bila kishoka.....msipende kuchafua chafua taasisi zingine bila kuwa na uhakika labda kwenye VISA ndo kidogo huwa ina changamoto zake
 
Si watanzania wangeenda kugombania, ukienda pale wizara ya mambo ya ndani utakuta kuna watu wanadai passport mpaka zile risiti zimefutika kila kitu wanaandikiwa majina kwa kalamu, na wanasimama jua kali nje kwa masaa kadhaa na mwisho unaambiwa njoo wiki ijayo na hapo mtu tangu mwaka jana hajapata.
Hivi unasema passport gani? Ya kusafiria humu humu dunaini au ya kuendea mbinguni? Hiyo ni Tanzania ya sasa au ile ya kina marehemu mzee Mwinyi? Passport inatoka ndani ya wiki 2 baada ya kukamilisha process zote na control number imetoka ukalipia laki na 30 unaitwa baada ya wiki 2 unapata passport. Danganya ambao hawana experience na hayo mambo. Tena kama details zako hazina shaka yoyote kama watu wa mipakani ndiyo huwa uhamiaji wanasema wana complications kwenye uraia wao hata maswali yale ya utata hawakuulizi unafika tu uhamiaji wilaya anapitisha, ngazi ya mkoa anapitisha control no.inatoka unalipia baaasi unabaki kusubiri. Kama hauna haraka hutoi ela hata kidogo labda ile tu shukrani ya soda efu 10, 20 kwa kupenda mwenyewe
 
Wakuu wasalaamu!!

Kama kichwa kinavyojieleza nimepata safari ya haraka sana, sasa nimepitia nyuzi mbalimbali kuhusu kuchelewa kwa passport na usumbufu uliopo uhamiaji hasa ukiwa mkoani.

Ipo hivi nilianza kufatilia passport mwanzoni mwa mwezi wa 3 nikiwa mkoa A lakini cha ajabu nilikuwa nikienda ni mwendo wa kuzungushwa tu mara mtandao unasumbua, mara njoo kesho tuangalie, nikajaza fomu lakini wapi naishiwa kuambiwa subiri wiki ijayo.

Nina safari mwezi wa 5 tarehe moja na mdhamini wangu amechachamaa kwelikweli ananiona mzugaji tu.

Sasa nimeamua niende Dar nikafanyie process zote palepale Uhamiaji Kurasini, hivyo naomba msaada kwa mwenye namba za mtu mjanja anayeweza kunifanyia mchakato nikapata passport ya express ndani ya siku moja au mbili niwe nimeipata bila usumbufu maana nimemuandalia posho yake kabisa.

Cc Mshana Jr
Isanga family
[USER=30674]kalaga Baho
Nongwa
ZEE LA JIJI
Evelyn Salt
Smart911
[USER=127896]mwashamba
Nenda ofsi za uhamiaji hakuna njia ya mkato
 
nimeshangaa siku 14 😀
Kuna member nakumbuka alikuja humu kuomba ushauri namna ya kupata passport ni kama ilikuwa February mwishoni au March mwanzoni kabisa watu walimtisha hivyo hivyo na vishoka wakapatikana wakimwambia bila hela mambo hayaendi, hakuwa anauhitaji wa very urgently nilimwelekeza kama utani vile namna ya kufanya aliingia mwenyewe online akajaza akafuata taratibu zote baada ya wiki 2 alianiambia amepata passport. Ni vile nimemsahau na conversation zetu nilifuta kama upo humu ukuje uwahakikishie wadau maana maneno ya vijiweni yanawaaminisha sana watu.
 
Wakuu wasalaamu!!

Kama kichwa kinavyojieleza nimepata safari ya haraka sana, sasa nimepitia nyuzi mbalimbali kuhusu kuchelewa kwa passport na usumbufu uliopo uhamiaji hasa ukiwa mkoani.

Ipo hivi nilianza kufatilia passport mwanzoni mwa mwezi wa 3 nikiwa mkoa A lakini cha ajabu nilikuwa nikienda ni mwendo wa kuzungushwa tu mara mtandao unasumbua, mara njoo kesho tuangalie, nikajaza fomu lakini wapi naishiwa kuambiwa subiri wiki ijayo.

Nina safari mwezi wa 5 tarehe moja na mdhamini wangu amechachamaa kwelikweli ananiona mzugaji tu.

Sasa nimeamua niende Dar nikafanyie process zote palepale Uhamiaji Kurasini, hivyo naomba msaada kwa mwenye namba za mtu mjanja anayeweza kunifanyia mchakato nikapata passport ya express ndani ya siku moja au mbili niwe nimeipata bila usumbufu maana nimemuandalia posho yake kabisa.

Cc Mshana Jr
Isanga family
[USER=30674]kalaga Baho
Nongwa
ZEE LA JIJI
Evelyn Salt
Smart911
[USER=127896]mwashamba
Kwanza ulijaza form zipi? Maana form unaanza kujazia online unaattach wanavokuwa wamekuomba kama uthibitisho wa makazi, birth certificate, affidavits za wazazi, barua ya kuomba passport, na passport size sijui na nini sikumbuki ila ni hivyo, inafikia mahali unaprint, unapeleka uhamiaji wilaya anapitisha, unaenda mkoani anapitisha unalipia pesa iliyobaki unasubiri. Mwenzetu forms walikupa hapo hapo uhamiaji?
 
Watu wanafuata hizo taratibu na wanasubiri passport miezi 6 na hawazipati.
Huyu jamaa hapa alishapata passport yake bahati nzuri nimeipata thread yake
 
Wakuu wasalaamu!!

Kama kichwa kinavyojieleza nimepata safari ya haraka sana, sasa nimepitia nyuzi mbalimbali kuhusu kuchelewa kwa passport na usumbufu uliopo uhamiaji hasa ukiwa mkoani.

Ipo hivi nilianza kufatilia passport mwanzoni mwa mwezi wa 3 nikiwa mkoa A lakini cha ajabu nilikuwa nikienda ni mwendo wa kuzungushwa tu mara mtandao unasumbua, mara njoo kesho tuangalie, nikajaza fomu lakini wapi naishiwa kuambiwa subiri wiki ijayo.

Nina safari mwezi wa 5 tarehe moja na mdhamini wangu amechachamaa kwelikweli ananiona mzugaji tu.

Sasa nimeamua niende Dar nikafanyie process zote palepale Uhamiaji Kurasini, hivyo naomba msaada kwa mwenye namba za mtu mjanja anayeweza kunifanyia mchakato nikapata passport ya express ndani ya siku moja au mbili niwe nimeipata bila usumbufu maana nimemuandalia posho yake kabisa.

Cc Mshana Jr
Isanga family
[USER=30674]kalaga Baho
Nongwa
ZEE LA JIJI
Evelyn Salt
Smart911
[USER=127896]mwashamba
Uko mkoa gani tukupe mchongo,ila andaa 250,000
 
Passport ni siku 14 kama hauna haraka hata hazizidi hata uwe mkoani mkuu no research no right to speak alijisemea yule jamaa. Tena bila rushwa yoyote ukiwa na documents zoote zinazohitajika process nzima inakuwa inakuelekeza nini cha kufanya, nini cha kuattach unafikia mahali unaprint unaenda inasiniwa ngazi ya uhamiaji wilaya unalipia efu20, unaenda ngazi ya uhamiaji mkoa wanaipitisha u unalipia laki na 30 unasubiria siku 14 tu unaitiwa Passport yako imetoka. Nayasema haya kwasababu nime experience kwa kuyafanya mwenyewe na watu wangu wa karibu pia bila rushwa, bila kishoka.....msipende kuchafua chafua taasisi zingine bila kuwa na uhakika labda kwenye VISA ndo kidogo huwa ina changamoto zake
Mh.
 
Hivi unasema passport gani? Ya kusafiria humu humu dunaini au ya kuendea mbinguni? Hiyo ni Tanzania ya sasa au ile ya kina marehemu mzee Mwinyi? Passport inatoka ndani ya wiki 2 baada ya kukamilisha process zote na control number imetoka ukalipia laki na 30 unaitwa baada ya wiki 2 unapata passport. Danganya ambao hawana experience na hayo mambo. Tena kama details zako hazina shaka yoyote kama watu wa mipakani ndiyo huwa uhamiaji wanasema wana complications kwenye uraia wao hata maswali yale ya utata hawakuulizi unafika tu uhamiaji wilaya anapitisha, ngazi ya mkoa anapitisha control no.inatoka unalipia baaasi unabaki kusubiri. Kama hauna haraka hutoi ela hata kidogo labda ile tu shukrani ya soda efu 10, 20 kwa kupenda mwenyewe
Okay sawa nahisi mimi ndiye mgeni hapa tanzania kwetu, i surrender my case.
 
Okay sawa nahisi mimi ndiye mgeni hapa tanzania kwetu, i surrender my case.
Kuna mahali nlikuwekea link ya yule jamaa aliyekuwa akihitaji msaada wa hiyo passport. Alifuatilia ndani ya march na alishaipata na akatoa mrejesho humu humu mwezi haukuisha
 
Kuna member nakumbuka alikuja humu kuomba ushauri namna ya kupata passport ni kama ilikuwa February mwishoni au March mwanzoni kabisa watu walimtisha hivyo hivyo na vishoka wakapatikana wakimwambia bila hela mambo hayaendi, hakuwa anauhitaji wa very urgently nilimwelekeza kama utani vile namna ya kufanya aliingia mwenyewe online akajaza akafuata taratibu zote baada ya wiki 2 alianiambia amepata passport. Ni vile nimemsahau na conversation zetu nilifuta kama upo humu ukuje uwahakikishie wadau maana maneno ya vijiweni yanawaaminisha sana watu.
Huenda mambo yamebadilika mkuu, au kwa vile mimi ni mnyarwanda
 
Back
Top Bottom