Wangekuwa maafisa nisingewaita vishoka!Kivipi mkuu nifungue maana hilo neno vishoka sio geni kwangu, kwamba nao ni maafisa wa uhamiaji lakini wanakutapeli tena??
SawaNaweza kuja Iringa muda wowote kama ni uhakika!
Kwanini unafanyia jambo serious mitandaoni kwanini usiende office husika wakupe taratibu ambazo natumai zitakuwa za kiofisi!. Inaonekana wewe ndio unatengeneza mazingira hayo ya tip overBasi hao sina muda nao, nina baadhi ya maafisa wa hapa mkoani ila nao nimeona ni miyeyusho tu nataka waliopo Dar nimalizane nao kiutu uzima mkuu!
Huwez kupata siku hiyo hiyo, passport hata kupitia kwa vishoka ni process. Minimum ni two mpaka three daysAhsante ndo nataka hao, ilimradi niipate siku hiyohiyo sitaki mambo za kusubiria!
Mkuu nimevumilia sana, waliniambia ikiisha sikukuu ya Idd lakini wapi alafu zile mambo za nenda rudi kwangu ni kero, nina biashara zangu zinahitaji usimamizi pia!Kijana rushwa ni haramu,. Kuwa mvumilivu ni mfumo tu unasumbua kidogo baada ya pasaka itakuwa tayari.
Huku naamini kuna watu wamepitia hizo changamoto na wanajua namna walivyozitatua, lakini sio kwamba sijafika ofisi za uhamiaji nimefika lakini nilichokiona ni kwamba passport nitaipata kwa kuchelewa sana alafu hata lengo la safari husika lisifanikiwe.Kwanini unafanyia jambo serious mitandaoni kwanini usiende office husika wakupe taratibu ambazo natumai zitakuwa za kiofisi!. Inaonekana wewe ndio unatengeneza mazingira hayo ya tip over
Nimekuelewa sana boss, nitauzingatia ushauri wako makini sana.Nenda kurasini fuata utaratibu,jieleze kwa unyeyekevu,usiwe na presha,kama ni mwanamke mwambie Dada au Mama naomba unisaidie,maongezi yataendelea vizuri ukionyesha nia ya kutoa pesa haraka usaidiwe lakini siyo rushwa.
Inategemea maana hapa Kama ukija na viambatanisho vyote ni takujazia form nakuchukua biometric zako na kuzituma makao makuu,then baada ya wiki utapataNitaipata ndani ya siku ngapi hujanijibu swali langu?
Kwanini uwatumie vishokaMi sina mtu hapa mjini, sema ukiwapata vishoka huko kesho tu unapata passport ilimradi hela ipo.....watakuja wadau pole.
Wewe upo jikoni mtoa mada, Big Nyota komaa na huyu, maelezo mafupi lakini yamenyooka, dar sikushauri hili jiji kila mtu tapeliInategemea maana hapa Kama ukija na viambatanisho vyote ni takujazia form nakuchukua biometric zako na kuzituma makao makuu,then baada ya wiki utapata
Mkuu ukisema ufate utaratibu unaotakiwa unaweza hata kuikosa hiyo safari uliyopangiwa ukabaki na passport kama pambo.Kwanini uwatumie vishoka
Kwanini usikamilishe nyaraka
Zako zote zinazohitajika uhamiaji
Kwa ajili ya application ya port
Mbona nyie hamjiamini
Ova