Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Hayanaga mwongozo!
Hayanaga mwongozo!
Kuongezeka mwili ni sawa ila kwa wanawake wembamba wao wanakuaga tofauti ni hips pekee yake ndio zinaongezeka ila Sehemu nyingine za mwili zinabakia kuwa vile vileUjua hamnaga mwembamba wa kudumu ndo tatizo, so akija kupiga mitori kadhaa tu na biere mbalimbali utashangaa anakuwa wa mviringo ndani ya mwaka au miwili unarudi kulekule! Unamchinjia baharini?
wanakua wa mviringo kama pipa...Kuongezeka mwili ni sawa ila kwa wanawake wembamba wao wanakuaga tofauti ni hips pekee yake ndio zinaongezeka ila Sehemu nyingine za mwili zinabakia kuwa vile vile
Wewe hushindwi kitu
Sasa hiviMwanamke mwembamba akiufanyia kazi mwili wake anavutia kuliko wa makalio makubwa sababu ana uwezo wa kuvaa vazi lolote likampendeza
Phaller 😂
😀😀😀 databank yangu iko full!Wewe hushindwi kitu
Wewe umebarikiwa... Mbele na Nyuma vyote unavyo...Phaller 😂
Kote hohe hae 😁Wewe umebarikiwa... Mbele na Nyuma vyote unavyo...