Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,991
- 32,528
Hahaa unakwepa teke au ?Finally
Tusio na makalio makubwa tumekumbukwa
Hahaa unakwepa teke au ?Finally
Tusio na makalio makubwa tumekumbukwa
Kwa matakwa ya mleta mada umekosa vigezo, maana umeumbika...Kote hohe hae 😁
Usinipeperushie ndege, nataka nikam PM mtoa mada 😁😁 sina kilo 70 mieKwa matkwa ya mleta mada umekosa vigezo, maana umeumbika...
Na ukiangukiwa na maji ya mvua ndiyo kabisa...Usinipeperushie ndege, nataka nikam PM mtoa mada 😁😁 sina kilo 70 mie
Huruma huna sio!!Na ukiangukiwa na maji ya mvua ndiyo kabisa...
Utadumbukizwa hata USA River ulowane...Huruma huna sio!!
Kwa taarifa yako Pasaka ikiisha na masika yanaisha 😁😁
Heshima yako🙌😀😀😀 databank yangu iko full!