secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,361
- 28,731
Ewaaah! Sasa huyu ukitaka kumtumia kama nyenzo ya kuvutia hisia pindi unanyetuka anakufaa.Uyu ata nikabania kwenye mkanda wazungu wanakuja wenyewe
Fayaaa 🔥 bin fayaaa 🔥.
Ewaaah! Sasa huyu ukitaka kumtumia kama nyenzo ya kuvutia hisia pindi unanyetuka anakufaa.Uyu ata nikabania kwenye mkanda wazungu wanakuja wenyewe
PM yake iko wazi masaa 24 😎.Ngoja tuone mwitikio wake
Me kuna pisi kipindi cha nyuma nilikua na date nayo ilikua nyembamba sana baadae ikaanza kunawili akawa na shape alikuja kuniacha akaama akaenda daslamPisi nyembamba zikipata diet inayoeleweka yale mafuta yanaenda kukaa mapajani na makalioni,wanakuwa kama twiga
Zikiambiwa ebu tega kijambio zinatega fasta kweliMali za chama huko lumumba
Ahaha msamehe bure tu, mwanamke mwembamba mwenye kiuno anapitia changamoto sana sababu anavutiabure itakua alipitia stress akapunguaMe kuna pisi kipindi cha nyuma nilikua na date nayo ilikua nyembamba sana baadae ikaanza kunawili akawa na shape alikuja kuniacha akaama akaenda daslam
Cha kushangaza sasa hivi ameludi amekua kama mbao za lenta ananiletea shobo anaboa sana
Msamehe bure tu, mwanamke mwembaba mwenye kiuno anapitia changamoto nyingi sana za kusumbuliwa,mwili ulirudi hali ya zamani itakua labda alikutana na stressMe kuna pisi kipindi cha nyuma nilikua na date nayo ilikua nyembamba sana baadae ikaanza kunawili akawa na shape alikuja kuniacha akaama akaenda daslam
Cha kushangaza sasa hivi ameludi amekua kama mbao za lenta ananiletea shobo anaboa sana
Nilikuwa natania tu mkuu.Hakuna zaidi ya shukran na mwanzo wa kufahamiana tu
Kwa sababu hujataja umri yupo bibi yangu now ana miaka 81 tu anasifa zote ulizo finish hapo juu. Na zama Dm mkuu niwa connect maana mimi ndo nitakuwa kila kitu kwenye maongezi yenu bibi hajui kutumia simu kabisa.Hamjambo
Binafsi nina ombi nalileta kwenu,natafuta mwanamke mwembamba haijalishi umri,rangi,tabia au kabila.Kwa upande wangu nipo sawa umri wangu nipo stage ya tatu.
Kama yupo humu ndani au kuna mdau yeyote anamfahamu mwanamke mwenye sifa tajwa DM yangu ipo wazi.
Asante
mkuu wewe umesemaUyu mwenetu itakua amepigika kimaisha
Mwambie wanawake ni wanawake, sote tuko hivo hivo wakubwa kwa wadogo. Tofauti ni ndogo sana na anaweza asiione 😅Ujamuelewa mtoa mada anawalenga wadada wa JF anasema wanauelewa kuliko wa mtaan
Hakunaga mtu anayeishi online.Mtaani wapo ,ila nikipata anaetokea hapa au anaifahamu Jf huyu hata uelewa wa mambo ni mkubwa kuliko wa mtaani
Comments zako zinaonesha una uzoefu na wanawake wembambaAhaha msamehe bure tu, mwanamke mwembamba mwenye kiuno anapitia changamoto sana sababu anavutiabure itakua alipitia stress akapungua
Msamehe bure tu, mwanamke mwembaba mwenye kiuno anapitia changamoto nyingi sana za kusumbuliwa,mwili ulirudi hali ya zamani itakua labda alikutana na stress