Nahitaji mwanamke mwembamba aliyenyooka

Nahitaji mwanamke mwembamba aliyenyooka

Achana na mamamake membamba, yana unyafuzi mpaka kichwani! Yatakuzalia watoto hamnazo! Ila na wewe mkuu una changamoto, ina maana huko kote unakopita hujawahi kuona mwanamke mwembamba mpaka uje kutusumbua Sisi huku?
Mtaani wapo ,ila nikipata anaetokea hapa au anaifahamu Jf huyu hata uelewa wa mambo ni mkubwa kuliko wa mtaani
 

Attachments

  • downloadfile-31.jpg
    downloadfile-31.jpg
    181.7 KB · Views: 2

Similar Discussions

Back
Top Bottom