Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 674
- 836
- Thread starter
- #21
Mtaani wapo ,ila nikipata anaetokea hapa au anaifahamu Jf huyu hata uelewa wa mambo ni mkubwa kuliko wa mtaaniAchana na mamamake membamba, yana unyafuzi mpaka kichwani! Yatakuzalia watoto hamnazo! Ila na wewe mkuu una changamoto, ina maana huko kote unakopita hujawahi kuona mwanamke mwembamba mpaka uje kutusumbua Sisi huku?