Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mungu amponye masikini kwa mapito anayopitia
Nakazia...🙂🙂🙂
Nakazia...🙂🙂🙂
Mkuu hii namba ni ya mtandao gani?0624108319
Pole sana mkuu Mungu akufanyie wepesi na kukuponya nakutumia chochote no yangu ya tigo 0714 inaishia na 15 nakutumia sasa hivi
!HalotelMkuu hii namba ni ya mtandao gani?
Hapana mkuu watu watamsaidia tuKiasi fulani jukwaa limetuangusha.
NimekusomaHapana mkuu watu watamsaidia tu
Wengine bado hawajauona huu uzi
Pia wengine muda huu mifuko mikavu
Mimi mwenyewe bado sijamchangia mkuu ila lazima nitafanya hivyo


Umenifurahisha Shualina!
I owe you a 12-pack of Heineken!
Aww Ngabu![]()
Nimevuta picha nipo na heineken zangu 12 zinavuja jasho
Cha pombe...muite yule mlevi mwenzio!Aww Ngabu![]()
Nimevuta picha nipo na heineken zangu 12 zinavuja jasho
Mkuu usihofu ,maana mm mwenyewe tu,aliye ktk avatar yangu ana ziara mji ninao kaa ,watu wako busy,ila bandiko lako na mdau RRONDO lilinigusa ikabidi nifanye lilofanyika,ila nikitulia hope nitaongeza tena kdgHapana mkuu watu watamsaidia tu
Wengine bado hawajauona huu uzi
Pia wengine muda huu mifuko mikavu
Mimi mwenyewe bado sijamchangia mkuu ila lazima nitafanya hivyo
halotelMkuu hii namba ni ya mtandao gani?
Cha pombe...muite yule mlevi mwenzio!
asante shunie..nashukuruPole sana mkuu Mungu akufanyie wepesi na kukuponya nakutumia chochote no yangu ya tigo 0714 inaishia na 15 nakutumia sasa hivi
asante shunie..nashukuru
AminaMungu akuponye mama ni mapito tu hayo yatapita utapona na kurudi kwenye hali yako jikabidhi kwa Mungu tu
Update ya michango....
1. ______ 50,000/=
2. _______ 200,000/=
3. _______ 8,500/=
4. _______20,000/=
5. _______ 20,000=