Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Nakupa pole na pia nikujulishe kuwa mimi huwa nipatapo nafasi uombea wagonjwa wote ambao Hupitia majaribu ila huwa ni mitihani tu huwa nawaombea Mungu awasamehe dhambi zao nankuwaponya tafahdl tutakuombea pili kuwa waz mimi naisi maradhi yako sio ya kutibiwa hospital kwa hishu pingili plz kuna mitishamba inatibu kabsa mkuu.
Mkuu unasema unawaombea watu Hao ili MUNGU awasamehe dhambi zao??!!!!. Unataka Kusema wanaokumbwa na Kadhia za Magonjwa km hayo huwa ni Wadhambi??.
 
Mkuu unasema unawaombea watu Hao ili MUNGU awasamehe dhambi zao??!!!!. Unataka Kusema wanaokumbwa na Kadhia za Magonjwa km hayo huwa ni Wadhambi??.
Ndugu mimi nmetuma kamchango kadgo tyr vipi na ww umetuma au unatfta mijadara kwny afya za wanadamu wenzako mimi nilitegemea nikute umekoti unanipongeza kwa kuchanga kidgo kumbe unataka mijadara hisiyo na tija
 
Back
Top Bottom