Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

sijambo mkuu
Pole sana aggy, nilishasoma sana nyuzi zako kipindi cha nyuma, kwa namna ulivyokuwa mstari wa mbele kupambana kiuchumi kwa kuuliza na kudadisi mambo ya ujasiriamali. kwa kweli nimesikitika sana kwa magumu unayopitia kipindi hiki, pole sana Mungu ataweka mkono wake na kukupa wepesi.
Naomba katika hiyo michango ikiwezekana utafutiwe na hiki kifaa kikusaidie katika tatizo la foot drop bei haizidi 50,000/= kwa mitandaoni.

Ntajitahidi namimi kuchangia chochote kabla mwezi haujaisha.
s-l1600.jpg
s-l500.jpg
s-l1600 (1).jpg
 
Pole sana aggy, nilishasoma sana nyuzi zako kipindi cha nyuma, kwa namna ulivyokuwa mstari wa mbele kupambana kiuchumi kwa kuuliza na kudadisi mambo ya ujasiriamali. kwa kweli nimesikitika sana kwa magumu unayopitia kipindi hiki, pole sana Mungu ataweka mkono wake na kukupa wepesi.
Naomba katika hiyo michango ikiwezekana utafutiwe na hiki kifaa kikusaidie katika tatizo la foot drop bei haizidi 50,000/= kwa mitandaoni.

Ntajitahidi namimi kuchangia chochote kabla mwezi haujaisha.
View attachment 869315View attachment 869316View attachment 869317
asante mkuu..nkifanikiwa ntakitafuta
 
Mwenyeezi MUNGU mwingi wa rehema atakufanyia wepesi,ila ni vema ungeweka na namba za simu pesa ili tuweze kukuungiaungia(harambee).
 
Mwenyeezi MUNGU mwingi wa rehema atakufanyia wepesi,ila ni vema ungeweka na namba za simu pesa ili tuweze kukuungiaungia(harambee).
amina mkuu..
namba zangu zipo ukurasa wa kwanza.ni hizi
0624 108319
0710 078018
 
Pole kwa kuugua. Ulitibiwa kwa Dokta Njenje?
nlitibiwa muhimbili tu.MD ni wengi lakini specialist ni mmoja tu ila haitwi njenje.vipi huyo anapatikana wapi na anaweza kumaliza hili tatizo?
 
Back
Top Bottom