Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

nlitibiwa muhimbili tu.MD ni wengi lakini specialist ni mmoja tu ila haitwi njenje.vipi huyo anapatikana wapi na anaweza kumaliza hili tatizo?
Huyo ni specialist wa neuro anapatikana Muhimbili pia, yawezekana ndo aliyekutibia labda sema kwakuwa humjui jina sasa sijui
 
mi nliekutana nae anaitwa Mnacho
Ok sawa nimeona apo iyo dawa ulopewa methylpredinisoloni nikakumbuka hata mm niliwahi kuitumia niliandikiwa na uyo Dk Njenje thus why nikakuuliza
 
Pole sana kwa maumivu unayopata, ila hongera kwa juhudi ulizochukua ili kujua tatizo liko wapi.

Nashauri uongee na jf admins/moderators, wapate uhakika wa unachosema ili waruhusu uweke contacts zako hapa, mwenye nacho kidogo akusaidie. Naamini utasaidika ili upate unachohitaji.

Again, pole sana.
Alikuwa anaumwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom