Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Tiba mbadala, usikalili waganga ujue ata hizo madawa za mahospitalini mengi ni mitishamba.
sawa ila hospital sikumaliza.kama ingekua imeshindikana ningeanza kwenda huko.bado kuna vipimo sijapima
 
sawa ila hospital sikumaliza.kama ingekua imeshindikana ningeanza kwenda huko.bado kuna vipimo sijapima
Tiba mbadala sometime ni vyakula, siyo mpaka madawa chunguza pia mlo wako siku za nyuma, maana kwa asilimia karibu 80 ya magonjwa sugu causative ni diet imbalance.
 
Naomba nikupe pole sana dada na ninakuombea kwa Mungu Mwenyezi akuinulie watu watakao kusaidia. Mungu siku zote ni mwaminifu na mwenye huruma na upendo. Usiogope.
 
Back
Top Bottom