Nahitaji kuwa na dharau/kuignore watu

Nahitaji kuwa na dharau/kuignore watu

Kuringa sio dili... muhimu kujiamini na kujielewa... Trust me, hivi karibuni nimekutana dada mrembo hasa, na nilipaswa kuwasiliana nae mambo fulani nikahisi nitachomeshwa mahindi na kuwekewa pozi za maringo... lakini alivyonipokea na na kunishughulikia bila maringo wala nyodo pamoja urembo wake kwa kweli nimetokea kumuheshimu kupita matarajio niliyokua nayo.

Usitamani kuwa na maringo, zaidi tamani kujiamini ndio itakua sawa.
Kweli Maringo sio kitu kizuri. Hata uwe mzuri kama Malaika ukisharinga unaharibu.
Yeye mwenyewe mtoa mada tu hajiamini pamoja na kusema yeye mzuri ila haamini katika uzuri wake ndo maana bado anaona uzuri wake unatakiwa kuonekana na wanaume
 
Tatizo hili huwa wanalo wanawake wengi nawajua....yaani hata ukiombwa papuchi huwezi mmkatalia mtu...mnaitwaga akina mama huruma.,ila huwa kuna namna ya kulipunguza tatizo hilo..pole sana ukihitaji ushauri nasaha ni pm
Halihusiani na masuala ya papuchi hapa nazungumzia nijiamin na watu wakaribu wasinichukulie poa/ don't take me for granted
 
Ujitambui thamani yako! Utakuwa unajirahisi mno, unamanisha ukiombwa papuchi unatoa tu, si ndiyo huruma hiyo unamhurumia anayeumia na nyege[emoji16][emoji16][emoji16]

Ebu kuwa serious, huruma siyo kutoa vitu bila mpangilio, au kulinga siyo sifa njema only you are lacking determination, maana kila unalo litamani si jema kwako. Mtafute Yesu atakuongezea thamani sana, njia unayoitafuta kuifuata utapotea kabisa.


Umemalizia vizuri sana Bigmind .... katika sentensi ya mwisho. Yesu ni Jibu katika mambo YOTE.
 
Kujiamini kuna kuja baada ya kudharau kitu, watu ama jambo
Kujiamini kunatoka ndani yako (kwamba wewe unaweza, wewe una thamani n.k).

Kudharau kunatoka nje yako (external) (kwamba yule hawezi, yule ana thamani ndogo n.k)

Kwahiyo, hivyo ni vitu viwili tofauti. Wakati mwingine kudharau ni ishara ya kutojiamini na hofu kwamba unayemdharau may be anakuzidi kitu flani (unaweza usijue maana ni psychological lakini huo ndio unakuwa uhalisia)
 
Halihusiani na masuala ya papuchi hapa nazungumzia nijiamin na watu wakaribu wasinichukulie poa/ don't take me for granted
Jibu hili linashiria uwezo wa kujiamini unao, na unaweza kabiliana na yeyote anayejaribu kukushusha thamani, tena ni rahisi zaidi kupuuza wanaokushusha kwani tayari unajua kuwa wanafanya makusudi... ikiwa ni hivyo basi usiweke kwenye akili yako mambo hayo, zaidi komaa na mambo yako binafsi yatakayowanya haobwanaokudharau na kukushusha kukuheshimu zaidi
 
Habari za Leo.Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyosema..Mimi ni mdada Ila ninatatizo la kua na huruma hata mtu akinifanyia ubaya siwezi kumlipizia au hata kukata mawasiliano nae pia nakuaga na hofu utadhani Mimi ndie niliemkosea...Nina mafanikio lakin watu ndo wanatumia mafanikio yangu kuliko Mimi mwenyewe pia ni mrembo Ila sijui kuwa proud ama kuringa yani nimejawa na hofu zisizo na maana naombeni Masada nitumie Mbinu gani niwe jasir kama wanawake wenzangu
Asante
Kindness sio weakness...

Wew ni mtu poa sana, na ni wachache sana wako kama wewe.

Huna Ego, majigambo na majivuno, kujiona, sio ujanja kabisa. Mbona kuna watu maarufu tu, wapo cool kama wewe, wenye mpunga fresh tu, wakina Keanu mfano.

Husiharibu hiyo hali.

Njoo ujifunze jinsi ya kuwa na mtazamo chanya wa hiyo kitu... #be good.
 
Back
Top Bottom