Nahitaji kuwa na dharau/kuignore watu

Nahitaji kuwa na dharau/kuignore watu

Tuchki

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2017
Posts
1,740
Reaction score
1,446
Habari za Leo.Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyosema..Mimi ni mdada Ila ninatatizo la kua na huruma hata mtu akinifanyia ubaya siwezi kumlipizia au hata kukata mawasiliano nae pia nakuaga na hofu utadhani Mimi ndie niliemkosea...Nina mafanikio lakin watu ndo wanatumia mafanikio yangu kuliko Mimi mwenyewe pia ni mrembo Ila sijui kuwa proud ama kuringa yani nimejawa na hofu zisizo na maana naombeni Masada nitumie Mbinu gani niwe jasir kama wanawake wenzangu
Asante
 
Pole sana ...vipi lakini umeachwa au umeachika ? Haka kasentensi nmekapenda "Mimi mwenyewe pia ni mrembo"
Ha ha ha sijaachwa wala Ila nakuaga na hofu na sijiamini kabisa yaan me ni mrembo nikipita watu lazima wageuke Ila sijui Kwa nn sipo proud wala siringi..nataka niringe niwe kama wadada wengine wanaojiamini
 
Ha ha ha sijaachwa wala Ila nakuaga na hofu na sijiamini kabisa yaan me ni mrembo nikipita watu lazima wageuke Ila sijui Kwa nn sipo proud wala siringi..nataka niringe niwe kama wadada wengine wanaojiamini
Njoo pm
 
Habari za Leo.Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyosema..Mimi ni mdada Ila ninatatizo la kua na huruma hata mtu akinifanyia ubaya siwezi kumlipizia au hata kukata mawasiliano nae pia nakuaga na hofu utadhani Mimi ndie niliemkosea...Nina mafanikio lakin watu ndo wanatumia mafanikio yangu kuliko Mimi mwenyewe pia ni mrembo Ila sijui kuwa proud ama kuringa yani nimejawa na hofu zisizo na maana naombeni Masada nitumie Mbinu gani niwe jasir kama wanawake wenzangu
Asante
Sasa mbona unatafuta sifa za kijinga??
 
Cha kufanya hapo we kaa karibu na wahaya jifunze wao wanawezaje kuwa na dharau ila tu katika vyote utakavyocopy kwao lile la kuwa maharage ya mbeya achana nalo
 
Back
Top Bottom