Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Utaanza na kudekadeka mwisho wa siku utatamani yote wanayoyafanya wanawake na wewe ufanyiwe
Tupo wawili wote wakiuume n nimekuwa na mzazi mmoja wakike..Elezea kidogo historia ya makuzi yako msaada unaweza kuwa mkubwa zaidi,kama hutojari zungumzia mko wangapi kwenu, wewe ni mtoto wangapi kuzaliwa,je umeishi sana na mzazi yupi au mlezi yupi (wa kike au wa kiume) na mengine utakayopenda kushare nasi ili tujue tunasaidia mtu wa aina gani mkuu....vinginevyo ni hali ya kawaida kabisa ambayo unaweza kuicontrol good enough unajitambua kiongozi.
Wee unaonaje!!..Kwahiyo unasubiri sheria kupitishwa sio.
"Kwahiyo unasubiri sheria kupitishwa sio" ulikuwa namaana gani kuniuliza hivyo? nazani utakuwa ushajua ni wakike au wakiume.Hebu funguka ni wakike au wakiume?
sina huakika kama zinamkera hivyo nashindwa kusema maana chanya na chanya zinakimbiana nazani unajua nitakuwa na maanisha nini?kwani mpenzio anakerwa na tabia zako za kisichana sichana?
Aliyekwambia hizo ni tabia za kike nani?
Aliye kuambia anayeruhusiwa kutoboa sikio ni jinsia ya kike tu! nani?tukubali ukweli..nani kakwambia hizo ni tabia za kike??????
Afterall usipotaka mpenzi wako akufanyie hayo unataka nani akufanyie? Small hausi?
Haya mambo ukiongea Pemba au malindi utawekwa ndani Mtoto wa kiume
mwone boflo akusaidie
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
mtafute member anaitwa BOFLO humu ndani......atakusaidia mkuu
anza bange
kwani mpenzio anakerwa na tabia zako za kisichana sichana?
hata watoto tabia hizo wanazo so nothing new
We punga nini!
sina huakika kama zinamkera hivyo nashindwa kusema maana chanya na chanya zinakimbiana nazani unajua nitakuwa na maanisha nini?
ha ha ha ha...Mie nadhani hizo sio tabia za kike...ni tabia za wanadamu (wake kwa waume) walio wengi.Hakuna mtu hata 1 hapa duniaani asiyependa kupendwa....hata jambazi ana udhaifu wake inapofika masula ya malovee.So dont worry,be urself.
kwa comment hii nahisi unajaribu kutuchezea akili sidhani kama upo serious