acha kumuongopea mwenzio! shemeji habari za uzima wako? lolest!Aliyekwambia hizo ni tabia za kike nani?
Very simple, kubadilika ni kuacha hayo! That's it.nataka kubadilka bt naona kama nashindwa nipe njia za kubadilika..
usijali hata wanawake ní watu kama wewe.
Bado Sheria haija pitishwa..
Bado Sheria haija pitishwa..
Sema inasemekana ni dhaifu hata wewe ukiambiwa upo kama mwanamke unakasirika..
Namnaganivipi ni kama mambo flan za niajeniaje. Usijali, mjini hakuna mwenyeji wangu, kila mtu na ushamba wake.
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
Bado Sheria haija pitishwa..
You can say that againnani kakwambia hizo ni tabia za kike??????
Afterall usipotaka mpenzi wako akufanyie hayo unataka nani akufanyie? Small hausi?
Bado Sheria haija pitishwa..