...nahisi nina tabia za kike!

Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!

1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.

2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.

3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..

4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.

5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.

We punga nini!
 
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!

1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.

2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.

3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..

4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.

5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.

Mie nadhani hizo sio tabia za kike...ni tabia za wanadamu (wake kwa waume) walio wengi.Hakuna mtu hata 1 hapa duniaani asiyependa kupendwa....hata jambazi ana udhaifu wake inapofika masula ya malovee.So dont worry,be urself.
 
Cha msingi nikujitambua nakujiwekea mipaka kwa hizo hisia na vtendo vyako, usije ukaomba dume likusaidie kuvunja biskuti alafu ulisifu kaka unamijinguvu!!!.. kama mtu uliye naye anaridhia hali yako ukiwa taabani katka mahaba bas tulia.
 
nakuhesabia tu siku hapa soon utakuja na uzi wa real you
 
Tukusaidieje ssa kama tatzo lako unalijua.tukukumbtie na sisi ama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom