Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.