Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Ushauri mzuri sana.
Ushauri mzuri sana.
Mbona ume conclude haraka bamna hio?....Mkuu una kibamia. Period
Namshukuru Mungu kwa kuniumba na jeuri ya mapenzi, kujitoa kafara pia ni muhimu. Mtu akifanya distance kat yenu iwe mita 20 ongeza zingine hata mita 1000. Hao viumbe wanapenda mazobaHapa nilipo nimekosa usingizi kwa mawazo... Why mimi sina bahati kwenye mapenzi wala sina furaha kwenye mapenzi.. Sijawai kufurahia mapenzi wala kumpata niliempenda akanipenda jamani hii kitu imekuwa ikiniumiza kwa muda mrefu na umri unakwenda inazidi kuniumiza.. Sijawai pata dawa ya kumaliza hili tatizo naona aibu ata kushea na rafiki zangu maana mtoto wa kiume ni kama kukili udhaifu.... Hapa tu sasa hivi nimetoka kudondosha chozi...
Imagine nimekuwa namsichana karibia miez 3 sasa nampenda hatari lakini yeye haonyeshi kujali namfanyia kila kitu anachotaka na kilichoniumiza zaidi alipata ugonjwa juzi akazidiwa nusu ya kufa hakuwa na msaada kwao wala marafiki na alitoka kuniignore ila nikamsaidia matibabu yote ametoka hospital anaendelea kunuzingua simu zangu hapokei meseji anajibu akijisikia na mbaya zaidi ananikwepa inapofikia swala la ku-make love. Huyu msichana nimemzidi kila kitu yeye anafanya kazi kwenye duka la nguo elimu form 4 mimi nna kazi nzuri, nna elimu ya masters...
Na huyu sio wa kwanza ni wasichana wengi mno wananizingua wengi wanaonekana wapo interested na pesa na ata nikiwapa bado wanazingua nimejaribu wasomi wa kawaida wanavyuo na krba zote naona wengi wanaishia kunitumia no love kabisa... Sasa wadau sijui nna tatizo gani yani najihisi down mno kama dunia inanikataa kuna mtu ashawai kuniambia napenda masista duu alafu sio mjanja kwa type hixo hizo thus why ila wa nataka nn kwan
au sijui sina mvuto maana kamwili kangu ni kadogo au sijui ni mstaarabu sn au mpole mno maana mie sio mwongeaji alafu nna huruma mno sipendi kumkera mtu,, najitahd kuvaa kisasa vitu vya gharama big labels nanukia vzr ila sistui ... Dah sijui ata naandika nn nahis ninevurugwa sipo sawa kesho sijui ata kama nitaweza kufanya kazi yani hapa nitoke niende ata masai hapo au wapi sijui nitulize kichwa maana nahisi dunia sina zari na mapenzi oh God plz help me
dawa okoka utakuwa na furaha ya moyo ...believe me bila ivo lazima uwe mtumwaHapa nilipo nimekosa usingizi kwa mawazo... Why mimi sina bahati kwenye mapenzi wala sina furaha kwenye mapenzi.. Sijawai kufurahia mapenzi wala kumpata niliempenda akanipenda jamani hii kitu imekuwa ikiniumiza kwa muda mrefu na umri unakwenda inazidi kuniumiza.. Sijawai pata dawa ya kumaliza hili tatizo naona aibu ata kushea na rafiki zangu maana mtoto wa kiume ni kama kukili udhaifu.... Hapa tu sasa hivi nimetoka kudondosha chozi...
Imagine nimekuwa namsichana karibia miez 3 sasa nampenda hatari lakini yeye haonyeshi kujali namfanyia kila kitu anachotaka na kilichoniumiza zaidi alipata ugonjwa juzi akazidiwa nusu ya kufa hakuwa na msaada kwao wala marafiki na alitoka kuniignore ila nikamsaidia matibabu yote ametoka hospital anaendelea kunuzingua simu zangu hapokei meseji anajibu akijisikia na mbaya zaidi ananikwepa inapofikia swala la ku-make love. Huyu msichana nimemzidi kila kitu yeye anafanya kazi kwenye duka la nguo elimu form 4 mimi nna kazi nzuri, nna elimu ya masters...
Na huyu sio wa kwanza ni wasichana wengi mno wananizingua wengi wanaonekana wapo interested na pesa na ata nikiwapa bado wanazingua nimejaribu wasomi wa kawaida wanavyuo na krba zote naona wengi wanaishia kunitumia no love kabisa... Sasa wadau sijui nna tatizo gani yani najihisi down mno kama dunia inanikataa kuna mtu ashawai kuniambia napenda masista duu alafu sio mjanja kwa type hixo hizo thus why ila wa nataka nn kwan
au sijui sina mvuto maana kamwili kangu ni kadogo au sijui ni mstaarabu sn au mpole mno maana mie sio mwongeaji alafu nna huruma mno sipendi kumkera mtu,, najitahd kuvaa kisasa vitu vya gharama big labels nanukia vzr ila sistui ... Dah sijui ata naandika nn nahis ninevurugwa sipo sawa kesho sijui ata kama nitaweza kufanya kazi yani hapa nitoke niende ata masai hapo au wapi sijui nitulize kichwa maana nahisi dunia sina zari na mapenzi oh God plz help me
Try to be economical with your love, when the love is not that deep it doesn't hurt so hard, the time when the other side rejects it.Thanks nitajitahidi japo kuna time automatically unavutiwa na mtu alafu you end up disappointed dah it real hurts
Not skiny mkuu, labda thinI'm 27, skinny.. Asante kwa ushaur
extactlyLove yourself first no body will love you if you don't know your value.