Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,413
Masters unalialia na mapenzi badala ya kufanya tafiti za global warming,astroid impacts e.t.c?.......kweli Afrika hatuna letu!
Na kweli yan mpka kixchwa kinaumasasa na wewe, si utumie kiswahil il wote tufaidi unakiandika.
Ivi hujui kiingeleza kinamaliza damu?
Never one to let an opportunity go to waste
Big up tho...
Ndipo mnapodanganyaga watu. Asie na ufahamu, atayasikiliza maneno yako na kuanza kutafuta maana ya kupetipeti ili apendwe wakati uhalisia ni kuwa wanawake wengine wanapenda kunyenyekewa na kulambwa miguu tena ataenda kuwasimulia na mashoga zake na kuwaita waje washuhudie mwanaume asivyofurukuta mbele zake!Hujui kupepeti utajuta wenzako wakati wanajifunza haya wewe ulikuwa unakomaa na mavitabu-elimu haina nafasi katka mapenzi hiyo masters hata usiihusishe na mapenzi.
Utashangaa kuona kanakopendwa ni kauza matunda elimu la saba.
Kwenye mapenzi ata mtoto wa darasa la 4 akikupatia atakuendesha yani hapo usiseme kabisa.
Hahahaha! Pole sana..Dah sijui ata naandika nn nahis ninevurugwa
Ushauri mzuriKwanza nikiri kuwa nimecheka kwa huruma sana.
Whether it's true or not I just found myself imbued with a deep sense of pity.
If you can please don't allow your life to solely revolve around love relationships. Life is so much more than that.
Just appreciate the fact that you are alive, presumably healthy, educated, and that you are able to put food on the table, clothes on your back, and have a roof over your head.
There are plenty of people out there who wish to be in your position, even sans a romantic relationship.
So just be thankful for all that you have and tune out all negativity.
Sometimes good things come to those who wait. So never give up and I believe one day you'll meet your match.
All the very best my brother.
Hivi hujui kuwa mwili mdogo ndo unabeba mzigo mkubwa?Wanamhisi..si kashasema ana kaumbo kadogo dogo... Wanawake wanaendeshwa na hisia sio uhalisia!
Embu acheni nyie na mambo yenu hayo ulishamvua nguo ukamuona ...he just need advice kamaa hauna advice better leave aside....Mkuu una kibamia. Period
Ushauri mzuri sana.Kwanza nikiri kuwa nimecheka kwa huruma sana.
Whether it's true or not I just found myself imbued with a deep sense of pity.
If you can please don't allow your life to solely revolve around love relationships. Life is so much more than that.
Just appreciate the fact that you are alive, presumably healthy, educated, and that you are able to put food on the table, clothes on your back, and have a roof over your head.
There are plenty of people out there who wish to be in your position, even sans a romantic relationship.
So just be thankful for all that you have and tune out all negativity.
Sometimes good things come to those who wait. So never give up and I believe one day you'll meet your match.
All the very best my brother.