Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Habari wakuu,
Nimewakumbuka sana,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, umeoa au kuolewa ila Kuna yule mpenzi usiyeweza msahau.
Kama kuna jinamizi linalowatesa wengi waliopo kwenye ndoa ni lile jinamizi la yule mwanamke au mwanaume ambaye Huwa hasauliki kabisa Yani.
Yani huyo mpenzi Wala anaweza akawa hana maajabu kwa kitanda ila ndio hivyo sura yake na hisia naye za mapenzi haziishi kwa muhusika.
Utakuta mlengwa ana mke au mume ambaye yaani anajali anamahaba mvua ila wapi jininamizi la huyo mwanaume au mwanamke linamjia.
Wakati mwingine wakiwa na mumewe au mkewe wanafanya yao hisia zinahama na kwenda kwa huyo mpenzi wa zamani.
Mioyo ingefunguliwa wanandoa wangekimbiana kabisa, maana Siri zilizojoficha ni kubwa mno.
Anasema mwanamke mmoja kuwa tokea ameolewa na mumewe mpenzi walipendana sana.
Mahaba yalikuwa moto moto ila anadai kuwa kulikuwa na tatizo kwake la kumkumbuka mwamba mmoja.
Anadai mwamba mwenyewe si kwamba alikuwa na maajabu six kwa six ila alikuwa akimkumbuka sana.
Nimerudi kwa ufupi...
Donatila
Nimewakumbuka sana,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, umeoa au kuolewa ila Kuna yule mpenzi usiyeweza msahau.
Kama kuna jinamizi linalowatesa wengi waliopo kwenye ndoa ni lile jinamizi la yule mwanamke au mwanaume ambaye Huwa hasauliki kabisa Yani.
Yani huyo mpenzi Wala anaweza akawa hana maajabu kwa kitanda ila ndio hivyo sura yake na hisia naye za mapenzi haziishi kwa muhusika.
Utakuta mlengwa ana mke au mume ambaye yaani anajali anamahaba mvua ila wapi jininamizi la huyo mwanaume au mwanamke linamjia.
Wakati mwingine wakiwa na mumewe au mkewe wanafanya yao hisia zinahama na kwenda kwa huyo mpenzi wa zamani.
Mioyo ingefunguliwa wanandoa wangekimbiana kabisa, maana Siri zilizojoficha ni kubwa mno.
Anasema mwanamke mmoja kuwa tokea ameolewa na mumewe mpenzi walipendana sana.
Mahaba yalikuwa moto moto ila anadai kuwa kulikuwa na tatizo kwake la kumkumbuka mwamba mmoja.
Anadai mwamba mwenyewe si kwamba alikuwa na maajabu six kwa six ila alikuwa akimkumbuka sana.
Nimerudi kwa ufupi...
Donatila