Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 338
- 652
Habari zenu.
Kiufupi, Kuna kitu kinanichanganya sana kuhusu maisha ya sisi vijana, haswa tuliopo kwenye age ya 20-30, nahisi kuna kitu hakipo sawa, either kwa upande wangu au kwa upande wa wenzangu.
Unakuta vijana wenzangu(rika langu) wapo extremely active kweny masuala ya sex, mfano kuna wanangu yaan daaah sijui wana "High sexual-drive", unakuta kwa mwezi wanaweza fanya mapenzi zaidi hata ya mara kumi, Mimi kwa mwaka naweza hata isifike mara kumi, na ikizidi mara kumi bac ujue kuna demu alikuwa ananisumbua sana, au free-time ilikuwa nyingi.
Hii hali haipo tuu kwa vijana wa kiume, hata kwa vijana wa kike, tena kwa wanawake ndo usiseme, ni kama uhuru wa manyani. Unakuta sometimes hadi naogopa kuingia kweny mahusiano mapya nikiwaza jinsi ilivotembezwa kwa wadau mbalimbali.
Sio kwamba sina demu, hapana ninae ila najikuta tuu wiki na miezi inapita tuu wala siwazi hayo mambo.
Sasa ninachilojiuliza mm hapa ni kwamba, Je, mimi ndio nina shida au vijana wa siku hizi ni hypersexual??
(Unajua kusema ukweli sometimes huwa nawazaga hii hali yangu maybe ni mungu tuu ananiepusha na magonjwa ya ngono na kuumizwa moyo)
Kiufupi, Kuna kitu kinanichanganya sana kuhusu maisha ya sisi vijana, haswa tuliopo kwenye age ya 20-30, nahisi kuna kitu hakipo sawa, either kwa upande wangu au kwa upande wa wenzangu.
Unakuta vijana wenzangu(rika langu) wapo extremely active kweny masuala ya sex, mfano kuna wanangu yaan daaah sijui wana "High sexual-drive", unakuta kwa mwezi wanaweza fanya mapenzi zaidi hata ya mara kumi, Mimi kwa mwaka naweza hata isifike mara kumi, na ikizidi mara kumi bac ujue kuna demu alikuwa ananisumbua sana, au free-time ilikuwa nyingi.
Hii hali haipo tuu kwa vijana wa kiume, hata kwa vijana wa kike, tena kwa wanawake ndo usiseme, ni kama uhuru wa manyani. Unakuta sometimes hadi naogopa kuingia kweny mahusiano mapya nikiwaza jinsi ilivotembezwa kwa wadau mbalimbali.
Sio kwamba sina demu, hapana ninae ila najikuta tuu wiki na miezi inapita tuu wala siwazi hayo mambo.
Sasa ninachilojiuliza mm hapa ni kwamba, Je, mimi ndio nina shida au vijana wa siku hizi ni hypersexual??
(Unajua kusema ukweli sometimes huwa nawazaga hii hali yangu maybe ni mungu tuu ananiepusha na magonjwa ya ngono na kuumizwa moyo)