sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 325
- 2,292
Hapa nilipo nimekosa usingizi kwa mawazo. Why mimi sina bahati kwenye mapenzi wala sina furaha kwenye mapenzi. Sijawai kufurahia mapenzi wala kumpata niliempenda akanipenda jamani hii kitu imekuwa ikiniumiza kwa muda mrefu na umri unakwenda inazidi kuniumiza.
Sijawai pata dawa ya kumaliza hili tatizo naona aibu hata kushea na rafiki zangu maana mtoto wa kiume ni kama kukiri udhaifu. Hapa tu sasa hivi nimetoka kudondosha chozi.
Imagine nimekuwa na msichana karibia miezi 3 sasa nampenda hatari lakini yeye haonyeshi kujali namfanyia kila kitu anachotaka na kilichoniumiza zaidi alipata ugonjwa juzi akazidiwa nusu ya kufa hakuwa na msaada kwao wala marafiki na alitoka kuniignore ila nikamsaidia matibabu yote
Ametoka hospital anaendelea kunizingua simu zangu hapokei meseji anajibu akijisikia na mbaya zaidi ananikwepa inapofikia swala la ku-make love. Huyu msichana nimemzidi kila kitu yeye anafanya kazi kwenye duka la nguo elimu form 4 mimi nina kazi nzuri, nina elimu ya masters.
Na huyu sio wa kwanza ni wasichana wengi mno wananizingua wengi wanaonekana wapo interested na pesa na hata nikiwapa bado wanazingua nimejaribu wasomi wa kawaida wanavyuo na kariba zote naona wengi wanaishia kunitumia no love kabisa.
Sasa wadau sijui nina tatizo gani yani najihisi down mno kama dunia inanikataa kuna mtu ashawai kuniambia napenda masista duu alafu sio mjanja kwa type hizo hizo thus why ila wa nataka nini kwani.
Au sijui sina mvuto maana kamwili kangu ni kadogo au sijui ni mstaarabu sana au mpole mno maana mie sio mwongeaji alafu nina huruma mno sipendi kumkera mtu, najitahidi kuvaa kisasa vitu vya gharama big labels nanukia vizuri ila sistui.
Dah sijui hata naandika nini nahisi ninevurugwa sipo sawa kesho sijui hata kama nitaweza kufanya kazi yani hapa nitoke niende hata Masai hapo au wapi sijui nitulize kichwa maana nahisi dunia sina zali na mapenzi oh God plz help me.
Sijawai pata dawa ya kumaliza hili tatizo naona aibu hata kushea na rafiki zangu maana mtoto wa kiume ni kama kukiri udhaifu. Hapa tu sasa hivi nimetoka kudondosha chozi.
Imagine nimekuwa na msichana karibia miezi 3 sasa nampenda hatari lakini yeye haonyeshi kujali namfanyia kila kitu anachotaka na kilichoniumiza zaidi alipata ugonjwa juzi akazidiwa nusu ya kufa hakuwa na msaada kwao wala marafiki na alitoka kuniignore ila nikamsaidia matibabu yote
Ametoka hospital anaendelea kunizingua simu zangu hapokei meseji anajibu akijisikia na mbaya zaidi ananikwepa inapofikia swala la ku-make love. Huyu msichana nimemzidi kila kitu yeye anafanya kazi kwenye duka la nguo elimu form 4 mimi nina kazi nzuri, nina elimu ya masters.
Na huyu sio wa kwanza ni wasichana wengi mno wananizingua wengi wanaonekana wapo interested na pesa na hata nikiwapa bado wanazingua nimejaribu wasomi wa kawaida wanavyuo na kariba zote naona wengi wanaishia kunitumia no love kabisa.
Sasa wadau sijui nina tatizo gani yani najihisi down mno kama dunia inanikataa kuna mtu ashawai kuniambia napenda masista duu alafu sio mjanja kwa type hizo hizo thus why ila wa nataka nini kwani.
Au sijui sina mvuto maana kamwili kangu ni kadogo au sijui ni mstaarabu sana au mpole mno maana mie sio mwongeaji alafu nina huruma mno sipendi kumkera mtu, najitahidi kuvaa kisasa vitu vya gharama big labels nanukia vizuri ila sistui.
Dah sijui hata naandika nini nahisi ninevurugwa sipo sawa kesho sijui hata kama nitaweza kufanya kazi yani hapa nitoke niende hata Masai hapo au wapi sijui nitulize kichwa maana nahisi dunia sina zali na mapenzi oh God plz help me.