Nahisi maisha yamenipiga vibaya mno hadi naona aibu

We dogo tema mate chini. Nyie watoto wa juzi mmeharibiwa na hizi social networks. Haya makitu ilibidi kwa sisi weusi yasifike maana yameleta athari hasi kuliko chanya.
Umri wako huo sio wa kuongea hayo, watu mpaka 29 ilikua bado ni ungaunga. Tena una nafuu una back up ya kaka wa damu.
 
Nimekuzidi umri na nimegraduate degree wayback miaka ambayo wewe umeonyesha ulikua sekondari.

Tofauti yangu na yako mimi sikai kwa kaka na sisomi diploma.

Deal mbaya ni kujifananisha na mtu mwingine hapo ndiyo utaanza kua miyeyusho mia ya mia.
 
Kwako wewe na wenzako, Ishi vile unaishi mpaka hapo mfumo utakapojibadilisha wenyewe, usifosi, hivi unaijua jioni ya leo utakuwa ni mtu wa aina gani? Utakuwa hai ama mfu? Usiogope, maisha ni illusion tu, cheza na vibrations/Matrix utajua nini ufanye ili usiwe tegemezi, zaidi ya hapo frequencies zitakuyumbisha mpaka ukome, akili utayoamka nayo tembea nayo hiyo hiyo, usijipe kazi saana ya kufikiria kesho wakati mind iko blocked!

Katika maisha kila kitu kipo automatic, unaweza jifunza kuishi manual kama tu utapata msaada elekezi na itawezekana tu kwa kufungua vifungo vilivyowekwa kwenye fikra yako, pia si kazi rahisi na wale wanaofanikiwa kwenye hili ni wachache mno na huwa mpaka wapewe ruhusa ya kufanya hivyo.

Nakupa mfano mdogo, umefungua redio A, umeisikiliza ukaona kuna vipindi vya kidwanzi ukaamua kuhama frequencies na kwenda redio B, hapo ina maana kwamba ni wewe ndio umehama kutoka frequencie A hivyo kuhama kwako hakuifanyi redio A iache kurusha matangazo, yenyewe itaendelea na broadcasting kama kawaida lakini wewe utakuwa hauisikii tena, lakini bado ipo hewani, sasa kwa mantiki hii wengi wetu tumenasa kwenye mawimbi( tukichukulia mfano huu ) kati ya redio A na B sisi tume tune katikati ambako mawimbi ya redio A na B yanaingiliana na ndipo hapo unapoona mambo magumu, haukuprogramiwa kwa staili hiyo, huna uwezo huo, wewe chagua moja, kama ni A fanya A na kama ni B fanya B, huwezi kuwa AB kwa wakati mmoja mkuu. Kama hujanielewa nitafute
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza Semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo naye ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.
Maisha yanapangwa na mwenyezi Mungu.

Hakuna kuwahi Wala kuchelewa, Bali Kila kitu kinafanyika kwa wakati sahihi uliokubaliwa na mwenyezi Mungu, kwani unajua utaishi miaka mingapi mkuu?

Maisha Ni Siri. Hakuna uhakika wa moja kwa moja kwamba aliyefanikiwa Ni yule aliyewahi au aliyechelewa.

Jambo la msingi Ni kutumia vizuri na kwa bidii , Kila fursa inayojitokeza maishani mwako. Weka jitihada Kama mtu anayeishi milele hapa duniani..
 
Sitaki kujua unasoma diploma ya kitu gani. Ila nakuuliza jambo Moja. Unaujuzi gani pembeni ya icho unachokisomea.
 
Kikubwa ni kujiamini na kupambana hata Mimi nilipokuwa 25 nilikuwa kama wewe financially but the same Age nikapata kisimati, Just believe in yourself na uwe na malengo na ndoto,

Nimewahi kuwaona watu ambao breakfast Yao pekee ni at least 40K na zaidi wakati wengine ni 500 au 300...

Hujachelewa na Wala wenzako hawajawakuacha
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza Semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo naye ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.
Usikate tamaa. Mimi nilianza form 1 nina miaka 20
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza Semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo naye ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.
Tatizo unaendekeza JF! Hujui watu kama Erythrocyte wanalipwa kwa kusifia Chadema hapa JF
 
Kwenye Maisha Hilo ni jambo la kawaida sana, muhimu kuwa na subra tu, utakuja kusahau yote hayo.

Mimi nimeanza maisha late sana (35yrs) ndio niliajiriwa. Japo Nilikuwa hvyo hvyo kusoma kwa kuunga Unga. Lakini Sasa hivi (38yrs) Nina watoto wawili Ke/Me nafurahia maisha kama hakijatokea kitu.

Mke wangu Ana (31yrs) ni Graduate since (2015) BA Ed, no ajira no Biashara, yuko home analea kwa Aman. Alhamdulillah
Bravo
 
same situation except mi nshamaliza college. kama so hizi vpn hata jf nisingeingia . nilichogundua ni kuwa, kuwa distracted ni normal ila usikubali ikutawale.sometiome najiona namna gani vipi sometimes it's oky God knows tomorrow will be better.
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza Semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo naye ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.

Acha ujinga. Run your race and never compete with anyone in life. Set your goals right and work on achieving them.

Hujui walipoinzia hivyo usijifananishe na mtu yeyote. Wewe ni wewe na malengo yako.
 
Back
Top Bottom