Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,333
Chief under 30 humu ni wengi sana alafu wanatutusi kabisa huyo chalii ana miaka 25 na wengine wengi waliojitambulisha na cha ajabu mdogo wangu wa mwisho ni wa 94 🙆We dogo tema mate chini. Nyie watoto wa juzi mmeharibiwa na hizi social networks. Haya makitu ilibidi kwa sisi weusi yasifike maana yameleta athari hasi kuliko chanya.
Umri wako huo sio wa kuongea hayo, watu mpaka 29 ilikua bado ni ungaunga. Tena una nafuu una back up ya kaka wa damu.
Anyway apambane