Nahisi maisha yamenipiga vibaya mno hadi naona aibu

Kwenye Maisha Hilo ni jambo la kawaida sana, muhimu kuwa na subra tu, utakuja kusahau yote hayo.

Mimi nimeanza maisha late sana (35yrs) ndio niliajiriwa. Japo Nilikuwa hvyo hvyo kusoma kwa kuunga Unga. Lakini Sasa hivi (38yrs) Nina watoto wawili Ke/Me nafurahia maisha kama hakijatokea kitu.

Mke wangu Ana (31yrs) ni Graduate since (2015) BA Ed, no ajira no Biashara, yuko home analea kwa Aman. Alhamdulillah
Ameen, barikiwa sana
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo nae ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.

10 years to come utakuwa na miaka 35, bado kijana kabisa, weka tu malengo yako ya miaka mitano hadi 10, achana na hao waioooa, unaweza kuoa hata ukiwa na 40s kama kina Zito kabwe.

You still have time Mkuu. Kikubwa uzima.
 
25 ndo unapata presha? Mjomba wengine ghorofa ya tatu tushaingia na bado ramani imeloa. Natamani nikupe moyo, lakini bora ukweli tu. Ukweli ni kua, huko mbeleni ndo unaeza kukutana na magumu zaidi ya sasa ukajikuta unadata kabisa.
So inshort, don't worry about the future, focus na ulichonacho saa hii, perfect it in every way you can. Hakuna blueprint ya life. Inatokea inavotaka. Find pleasure and happiness in the little things. Never ever compare yourself na hao wengine, because hujui wanachopitia. Ungepewa maswaibu yao inaezekana tungekukuta Mirembe.
Angalizo: ukiuza "jicho" hakuna pasi ya kunyoosha marinda tena. Kaa chonjo
Mkuueti mngenikuta Mirembe nimejikuta nacheka tu
 
Nimemaliza olevel 2014 Kama wewe na Nina miaka 25 kama wewe ila niamini mimi hujachelewa chochote bro usikate tamaa huu ni umri wetu wa kupambana kutimiza malengo yoyote tuliyoweka haijalishi yatakamilika lini maana duniani hakuna anae wahi Wala anaechelewa kila kitu kinakuja kwa wakat wake na siyo muda wa kukata tamaa

Kufikiria yaliyopita na kutamani usivyo navyo vitakufanya ushindwe kufurahia neema uliyo nayo sasa, acha kutaman maisha ya wengine maana Kuna watu wanayatamani maisha yako pia
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza Semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo naye ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.
to me at @ 25 you still have a lot to do, still young and nothing to worry about !!
 
We dogo tema mate chini. Nyie watoto wa juzi mmeharibiwa na hizi social networks. Haya makitu ilibidi kwa sisi weusi yasifike maana yameleta athari hasi kuliko chanya.

Umri wako huo sio wa kuongea hayo, watu mpaka 29 ilikua bado ni ungaunga. Tena una nafuu una back up ya kaka wa damu.
 
Mpaka sasa nina miaka 25 ndio kwanza nipo Diploma mwaka wa kwanza Semester ya 2 inaanza tarehe 4 Aprili 2022. Bado nakaa na kaka yangu japo naye ana familia yake.

Najihisi kama nimechelewa kuanza maisha vile, nimesoma kwa kuungaunga tu, washkaji na rafiki zangu niliomaliza nao sekondari mwaka 2014 wengi wao wameoa, wengine washaolewa.

Yaani nikionana nao au kupishana nao njiani ni aibu tu, bora tuishie kuchati tu kupitia aidha sms, WhatsApp, Facebook. Nipo tu kama digidigi vile sina hili wala lile.

Hata akiba sina, siugui ovyoovyo. Siku nikitimuliwa home sijui itakuwaje. Japo Sir God analinda ile mbaya.

Mimi kaka yako nilitoka kwa mlezi nikiwa na umri wa miaka 28! Wewe na miaka 25 unapagawa?

Muhimu ujitahidi tu kumheshimu na kumnyenyekea shemeji yako.

Yaani ikiwezekana mlambe mpaka miguu!

Maana ukimzingua tu, basi umekwisha.
 
Unaambiwa ingekua inawezekana shimo lichimbwe alaf kila mtu aende akamwage matatizo yake pale, baada ya kuyaona ya wengine kila mtu angeingia kuyaokota ya kwake na kuyakumbatia.
Ni kweli yaani ukipata kujua mazito wanayopitia wengine utajiona yako ni chamtoto.

Kuna kipindi nilipokuwa chuoni katika Ile kipiga stori wenzangu walikuwa wakinieleza matatizo yao, asee nilijiona kumbe sina matatizo ya kutisha, yaani kuna watu wana matatizo we acha tu.
 
Nimemaliza olevel 2014 Kama wewe na Nina miaka 25 kama wewe ila niamini mimi hujachelewa chochote bro usikate tamaa huu ni umri wetu wa kupambana kutimiza malengo yoyote tuliyoweka haijalishi yatakamilika lini maana duniani hakuna anae wahi Wala anaechelewa kila kitu kinakuja kwa wakat wake na siyo muda wa kukata tamaa

Kufikiria yaliyopita na kutamani usivyo navyo vitakufanya ushindwe kufurahia neema uliyo nayo sasa, acha kutaman maisha ya wengine maana Kuna watu wanayatamani maisha yako pia
 
Back
Top Bottom