Nahisi kama naota vile

Nahisi kama naota vile

Mkuu hii haikubaliki kabisa, haiwezekani thread ya mwenzao waifanye asusa namna hii, hizi fursa sasa too much, sio kwamba nina wivu, Kwanini hammjali mwenye thread.? umukagame huwezi kuwaripoti hawa watu utafiti na Asprin kwa mods?

Brother mwekundu vipi matokeo ya Chelsea juzi? sikuwepo mjini.

Atletico walicheza 12 pamoja na refa wao
 
Sifa mojawapo ya mke mwema ni uvumilivu,sasa kwa jinsi unavyoporomosha matusi,
Kama mchumba wako yupo humu kweli,nadhani sas hivi pressure inapanda na kushuka.
Sina nidhamu ya uoga,naye anafahamu hilo na kanpenda kama nlivyo
 
ha ha ha ha
Ntuzu nilienda kumkamatia salender bridge amepaki pembeni huku anakodolea macho maji ya bahari.



Khe Khe Khe Khe

Kwa kweli bado Napata Napata buchugu sn maana ATM walivyo haribu BUS letu!?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom