Nahisi kama naota vile

Nahisi kama naota vile

We tutamalizana PM ili kupunguza wivu kwa binti flani hivi.

mmh babu hivi ni aina gani ya nanii unatumia mana naona unawatoa vijana kibao nishai hapa jf

wewe ndo unaongoza kwa michepuko uwiiiii twafaa
 
Sina wivu my dia🙂...nikuonee wivu mtu hata sikujui...nakwambia ukweli una move too fast...huwezi kujenga nyumba kwa siku moja rafiki....na hata ukiijenga unaanza kwenye msingi kwanza sasa wewe umeruka step zote waweka mabati wakati hata matofali hujaanza kuweka hio itakuwa nyumba kweli?uhusiano wowote haujengwi hivo!!unataka kuniambia umechunguza tabia za huyo mkaka kwa siku moja kugundua kama ni perfect match??:what:maana hukawii kutuanzishia uzi mwengine lol

Umesema yaliyo sahihi. Vijana wa siku hzi wanajikuta maisha wanayajua sanaaa wakati bado makinda. Mtu kupelekwa kwao tayari moyo una vibrate kama motorolla za miaka ya 90's. Anyway yetu macho. Tumtakie maisha mema na huyo jamaa yake. Amchunguze huyo jamaa kwa makini kwanza bila kusahau Sala nyingi kwa Mungu ampe jicho la rohoni. Dunia imeoza sana hii mjue. Kuna wengine walikurupuka hvyo hvyo leo hii wanamwaga vilio.
 
Sifa mojawapo ya mke mwema ni uvumilivu,sasa kwa jinsi unavyoporomosha matusi,
Kama mchumba wako yupo humu kweli,nadhani sas hivi pressure inapanda na kushuka.
 
ah utamu wake hawaujui makele makele tu umukagame bby ucjali wanasema si tunado miaka nenda mpaka waufyate

mpaka umeme utu r.i.p soon hahahhah unajua kufanya magazijuto???
when you plus 3 to 10 boys in bracket 3 dadies minus protection times bia za kuongwa is equal to sliming process
is mathematics simple??

class say yess
 
Last edited by a moderator:

..
...BABUUU...babuuuuu....#Asprin ...ushindweee mwenyeweee....huyu dada wa nguvu...mtu mzimaa...nawaletea Red wine....ulete # feedback hapa...maliza kila kitu....eeehh...!!...alafu babuu dada kasomaaa...ni mwanamke sio msichana....uta enjoy leo...ooooohhh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom