Nahisi kama naota vile

Nahisi kama naota vile

Hivi umukagame hizi hadithi huwa ni za ukweli? then una undugu wowte na paul kagame? any wy mi nko zangu kwetu pazuri hapa, tusker baridiii!
 
Last edited by a moderator:
Daaaah
Shkamoon wakuu
Baad ya kuachana na yule mpnz wangu na kuachana na ile mibaba nimekuwa na amani,japo nilikiwa katika wakati mgumu sana imebidi nidanganye ile mibaba kuwa waniache me nina magonjwa nitawaambukiza mmoja alikuwa teyar nimwambukize ugonjwa wwte kama nnao lakn nkamwambia sitak dhambi tafuta wanawake wengne niache tumeenda naona sasa kanielewa..
Kama mjuavyo mwanamke mrembo anatakiwa kupendwa,
Kuna mkaka wa hum hum jf kanipenda nimedate nae jana ni mkurya msabato nimevutiwa nae na kaonesha kunipenda sana kanipeleka hadi nyumban kwao i cnt explain nahis na mm nmependa nahisi huyu ndiye mume wangu ana kila sifa ya mwanaume ambaye huwa namuota awe mume wangu hapa nshachanganyikiwa siamn jaman jf imenipa mume pasipo kutegemeaaaaa
Nawapenda wote
Nampenda pia evelyn slt

Mala haba :lol:
 
Kama kuna kitu sintakuja kukifanya maishan ni kugeneralize mambo!....bado hamjaoneshana vitimbi apo!...

Mbna wanaume karbu wote ukimpata mwanzon n kama nabii ila tukianza vitimb unaaga mashindano tena ata viatu unasahau...

If i were u...ningefunga bakul langu kwa muda kwanza npate nafac ya kumjua mwenzang...

Hauchelew kutuletea stori zingne za oooh kwa kwel.......

Ata ivo nkutakie kila la kheri kwenye safar iyo
 
Hivi umukagame hizi hadithi huwa ni za ukweli? then una undugu wowte na paul kagame? any wy mi nko zangu kwetu pazuri hapa, tusker baridiii!

...#Kwetupazuri napajua...I drove over there 2 weeks ago...ni noma....sehemu ndogo iko very HOOOT...Tabata Sanene nadhani...ni balaaaa..!!!
 
Last edited by a moderator:
hahaahah eti umukagame hamna harusi sooo sad

..
...Yaani huyu atawaaibisha nyie wanawake wenzake...she reached puberty hana hata bikra moja....very very hovyo...haya majina haya dada yangu ni shidaaa..eti #umukagame ....zinaaa.. zinifuu..zogaaa...kitoto kamaliza wanaume wote...!!! hafai hata kutwa SANGINGI HUYU... ni ndito mmbaya...!!! chafuuu..!!
 
Back
Top Bottom