Nahisi kama naota vile

Nahisi kama naota vile

kweli
sezae Ntuzu tutambulishe wifi yetu..kufahamiana ni vizuri



Mnataka mumfahamu wifi yenu?


Basi tulieni tuli mtamfahamu!

Au nimuite aje awasalimie?


Alafu Mbona nyie hamjanitambulisha Shemeji zangu? KM yule anaitwa Excel simuoni Siku hizi yupo KWELI? Bado Shemeji yng Au? Na wewe mwallu ndio yupi Shemeji yng? Maana miss neddy namfaham Excel
 
Last edited by a moderator:
ee tunataka kumfahamu wifi yetu.
shemeji yenu kwangu sezae mnamfahamu..lol
Mnataka mumfahamu wifi yenu?


Basi tulieni tuli mtamfahamu!

Au nimuite aje awasalimie?


Alafu Mbona nyie hamjanitambulisha Shemeji zangu? KM yule anaitwa Excel simuoni Siku hizi yupo KWELI? Bado Shemeji yng Au? Na wewe mwallu ndio yupi Shemeji yng? Maana miss neddy namfaham Excel
 
Mnataka mumfahamu wifi yenu?


Basi tulieni tuli mtamfahamu!

Au nimuite aje awasalimie?


Alafu Mbona nyie hamjanitambulisha Shemeji zangu? KM yule anaitwa Excel simuoni Siku hizi yupo KWELI? Bado Shemeji yng Au? Na wewe mwallu ndio yupi Shemeji yng? Maana miss neddy namfaham Excel

hahaha ndo huyo huyo Excel kaka shemeji yako wa ukweli wengine wote wapiga misele tu afu ujue mwallu ni mtawa eeeh
 
Last edited by a moderator:
sikukutambulisha..ila kwa sasa tuanze na wifi yetu kwanza..halafu mie nitafata


Hapo umenitega! Duh! Huo mtego mgumu sn!

Dada yng ktk hii Jf hauna wifi yako huo ndio ukweli! Yani sina kabisa!

Ila niko Na Mke kabisa nimeoa Na niko Na watoto!
 
hahaha ndo huyo huyo Excel kaka shemeji yako wa ukweli wengine wote wapiga misele tu afu ujue mwallu ni mtawa eeeh

Ok Vzr sn! Mi wifi yako Yuko home ktk Jf hakuna wifi yako!

Ila mwallu namashaka nae Kua amekufa sehemu Fulani!
 
Last edited by a moderator:
waoh...hongera sezae Ntuzu kwa kua na wifi ulieoa kabisa..ila mi nilimaanisha wa huku jf
Hapo umenitega! Duh! Huo mtego mgumu sn!

Dada yng ktk hii Jf hauna wifi yako huo ndio ukweli! Yani sina kabisa!

Ila niko Na Mke kabisa nimeoa Na niko Na watoto!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom