Nahisi kama naota vile

Nahisi kama naota vile

Sezae wake mwallu why ulitukimbia..kuna mtu kanikumbusha ww ni msukuma so hapa sio ww uliyepaishwa tehe tehe tehe



Mwanangu ATM walivyotufanya Alafu Darajani wewe unaona sawa? Haki ya nani nabata buchungu sn!
 
Last edited by a moderator:
Wewe huyo Kaizer muache tu! Ntamtafuta kwenye kona moja tu lazima awe mpole au amwite Eiyer amsaidie!

10173814_760878473945174_2364585836772688518_n.jpg
 
Last edited by a moderator:



Aaaaaahg! Mukulu Eiyer tengua hiyo picha tafwadhali!


Yani basi zetu Mbili za Macopolo ATM wamezipitia na CRANE zao za DIEGO.


Duh nabata buchungu!


umukagame hakuna paroko hapa Wa kukufungisha ndoa maana ata Huyu nilie mchagua ananikumbusha maumivu!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa mkuu na uparoko wangu nijapotaman sana kukufungisha ndoa, sio ww na umukagame lol
mwallu hivi mchumbake Ntuzu apa ni.nani isije ikawa wanaishi kinyumba bila utaratibu😱


Wataka umfahamu mwenzangu Sio!?

Khe Khe Khe

Ngoja nikuitie Hawa wakuone ulivyo na hamu ya kufungisha ndoa watu!

Annie tian Karucee ebu pitieni huku mumuone Huyu paroko Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaahg! Mukulu Eiyer tengua hiyo picha tafwadhali!


Yani basi zetu Mbili za Macopolo ATM wamezipitia na CRANE zao za DIEGO.


Duh nabata buchungu!


umukagame hakuna paroko hapa Wa kukufungisha ndoa maana ata Huyu nilie mchagua ananikumbusha maumivu!

8087_394788810580678_1884129354_n.jpg
 
Daaaah
Shkamoon wakuu
Baad ya kuachana na yule mpnz wangu na kuachana na ile mibaba nimekuwa na amani,japo nilikiwa katika wakati mgumu sana imebidi nidanganye ile mibaba kuwa waniache me nina magonjwa nitawaambukiza mmoja alikuwa teyar nimwambukize ugonjwa wwte kama nnao lakn nkamwambia sitak dhambi tafuta wanawake wengne niache tumeenda naona sasa kanielewa..
Kama mjuavyo mwanamke mrembo anatakiwa kupendwa,
Kuna mkaka wa hum hum jf kanipenda nimedate nae jana ni mkurya msabato nimevutiwa nae na kaonesha kunipenda sana kanipeleka hadi nyumban kwao i cnt explain nahis na mm nmependa nahisi huyu ndiye mume wangu ana kila sifa ya mwanaume ambaye huwa namuota awe mume wangu hapa nshachanganyikiwa siamn jaman jf imenipa mume pasipo kutegemeaaaaa
Nawapenda wote
Nampenda pia evelyn slt

Jf raha sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom