Jamaa ako na pesa mingi eeeh??Kuna mkaka wa hum hum jf kanipenda nimedate nae jana ni mkurya msabato nimevutiwa nae na kaonesha kunipenda sana kanipeleka hadi nyumban kwao i cnt explain nahis na mm nmependa nahisi huyu ndiye mume wangu ana kila sifa ya mwanaume ambaye huwa namuota awe mume wangu hapa nshachanganyikiwa siamn jaman jf imenipa mume pasipo kutegemeaaaaa
Nawapenda wote
Nampenda pia evelyn slt
did you measure my IQ MISS???????TEHteh
Nchyee, chyee, chyeee!!! Napiga sana chafya waungwanaaa mnisaidieeee!!!Daaaah Shkamoon wakuu Baad ya kuachana na yule mpnz wangu na kuachana na ile mibaba nimekuwa na amani,japo nilikiwa katika wakati mgumu sana imebidi nidanganye ile mibaba kuwa waniache me nina magonjwa nitawaambukiza mmoja alikuwa teyar nimwambukize ugonjwa wwte kama nnao lakn nkamwambia sitak dhambi tafuta wanawake wengne niache tumeenda naona sasa kanielewa.. Kama mjuavyo mwanamke mrembo anatakiwa kupendwa, Kuna mkaka wa hum hum jf kanipenda nimedate nae jana ni mkurya msabato nimevutiwa nae na kaonesha kunipenda sana kanipeleka hadi nyumban kwao i cnt explain nahis na mm nmependa nahisi huyu ndiye mume wangu ana kila sifa ya mwanaume ambaye huwa namuota awe mume wangu hapa nshachanganyikiwa siamn jaman jf imenipa mume pasipo kutegemeaaaaa Nawapenda wote Nampenda pia evelyn slt
hahahahha masai hao wote wadoeaji tu mwenyewe yupo tuliiiii
Mbona kwenye PM huniiti nuksi unaniita dear?
Unaukana mwandiko wako?
Ebu nidanganye bibie, ukweli sitaki.
Jiulize wewe mwenyewe ulinipendea nini.
Why me?....
Yeroo iache chelsea yetu ipunzike mkuu
Nakupendaaaaa,iiiiiiiiiooooioooooo:banghead:😎:banghead:😎:banghead:😡😡😡:sly::sly::sly::sly::sly:
watu hawalali asee
duh
Najua unanipenda, na haka kamvua mimba itakuhusu. Nasogea hapo Masai Club kuzimua. Wahi
mmh alafu wewe nina mashaka na uwepo wako thom Estate